Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,380
- 1,800
Kuna vita ya maneno kati ya Davido na Burnaboy, baada ya Davido kusema yeye na Wizkid ndiyo wasanii wakubwa wa muda wote.
Sasa Burnaboy ameijibu kauli hiyo ya Davido kwa kusema "Kila mtu anajua huwezi kucheza mpira unatutia aibu kwenye timu, ila baba yako amekununua"
Je wadau wa JF ni kweli asemayo Davido?
Sent using motorola
Sasa Burnaboy ameijibu kauli hiyo ya Davido kwa kusema "Kila mtu anajua huwezi kucheza mpira unatutia aibu kwenye timu, ila baba yako amekununua"
Je wadau wa JF ni kweli asemayo Davido?
Sent using motorola