Kama umewatoa kafara kweli basi ni vema kuchutama mana kuna eazee wanajua kifo cha kafara. Kikubwa mrudie mungu kabla kafara haijahitaji damu yako. Acha janja janja.
NB
Maelezo yangu yatakuwa ya kweli kama mtu ametoa kweli kafara.
Unapobarikiwa na wewe wabariki wengine mkuu. Mungu hawezi kwenda kijijini kwenu kuwapa pesa ndio maana ameamua kuzipitishia kwako. Cha maana wema usizidi uwezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.