Round 4 mohamed Husein Zimbwe alikuwepoHivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
🐸🐸🐸Utopolo
Zimbwe Jr alikwepo kikosi cha wiki iliyopita, hata Manula amewahi kuwepoHivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Hakika,hii ni mara ya tatu sasa. Ameshakuwa mchezaji bora wa wiki na wiki iliyopita alishindanishwa kuwa mchezaji bora na wenzie watatu.Huy Luis ni kama anaandaliwa kuwa Mchezaji bora wa mashindano. Chama kilichombeba ni yale magoli yake mawili (Goli la nne linafaa kuwa goli bora la wiki).
Hongera kwao na kwa Club pia - Tena wameingia kwa alama nyingi 8.6 na kuwazidi hao wengine walioingia nao
Kipa ana 8.7Huy Luis ni kama anaandaliwa kuwa Mchezaji bora wa mashindano. Chama kilichombeba ni yale magoli yake mawili (Goli la nne linafaa kuwa goli bora la wiki).
Hongera kwao na kwa Club pia - Tena wameingia kwa alama nyingi 8.6 na kuwazidi hao wengine walioingia nao
Chama magoli na assist ndio kimembeba usisahau uwezo mkuu.Huy Luis ni kama anaandaliwa kuwa Mchezaji bora wa mashindano. Chama kilichombeba ni yale magoli yake mawili (Goli la nne linafaa kuwa goli bora la wiki).
Hongera kwao na kwa Club pia - Tena wameingia kwa alama nyingi 8.6 na kuwazidi hao wengine walioingia nao
Mbola mohammed husseinnalisha wahi kuingiaHivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?
Zimbwe,mzunguko wa nneHivi Simba wachezaji wenu wa kizawa mbona hatujawahi kuwaona kwenye kikosi hiki?