mi nawashangaa mnataka serikali ifanye nini nanyie ingieni msituni choma misikiti tuone itakuwaje maana wenzenu ndo wanachokitaka yaani mmechomewa makanisa 25 ndani ya miaka 12 nyie ata madrasa hamjachoma duh..si muwape wanachotaka jamani
Muda mrefu nmekua nikifatilia kuhusu binadamu kwenda mwezini na wanasema Neil Armstrong ndio mtu wa kwanza kufika huo, je kuna ukweli wowote AnD what about the conspiracy theory.
avumilie tu ndoa ndoano, pia uwezi kutoa maamuzi ikiwa maelezo hayajakamilika na ujapata mlolongo mzima wa maisha yao unaweza kukuta uyo mume nae anayake yanamsumbua ambayo anaogopa kukabiliana nayo.
mada yako ni uhongo mtupu..halafu we mwanamke mbona unasaport mtu mmoja kuwa na mahuuano na wapenzi wengi tena siku zote demu uliyepiga mkigombana lazima hatakuchana tu hata kama ulikuwa unamfikisha kibo....kwenye mapenzi hakuna anaejihamini 100% kila mtu anaisi anakasoro zake tena mademu ndo...
kama ndo hivo basi hata sultani alivamia eneo la pwani na tanganyika kwa ujumla ikizingatiwa tanganyika ilikuwa na tawala ndogo ndogo,geographically nchi kuvuka bahari uo sio mpaka tena bari ni uvamizi ukiangaria pia sultan nae wakuja tu pwani hii,tatizo wazazibari mnajiona kama waoman vile...
huo ndo ukweli hata BBC wameshawahi kufanya utafiti wa mahojiano ambapo wanawake 120 walihoojiwa,104 kati yao walisema wamewahi kufika kilelen mara moja au mbili tu katika maisha ya mapenzi yao,10 wanafika kilelen wakikutana na wapenzi wapya,the rest hawana uhakika, na ndio maana katika topic ya...
inaonekana shekhe ilunga na wenzake wanatafuta umaarufu na wananufaika na kuanzisha mijadala ya udini,hata osama wakati anapigwa walisema marekani anania ya kutokomeza uislam mpaka mwenyewe aliposema "this is not jihad,this is stricly bussiness.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.