Je biashara yoyote lazima ufanye market test,? Vp kuhusu zile za uzalishaji ambapo mpaka miundombinu ya uzakishaji ikamilike ambapo utakuwa tayari umeshaanza uwekezaji.
pia Kuna biashara nyengine ni ngumu kupata taarifa za Siri ya biashara kutoka Kwa wazalishaji wengine au wateja au wauzaji. Je...
Hii ni idea nzuri, ila umeshawahi kuona sehemu wanauza nyama choma sungura na biashara imesimama. Mtoa mada anataka kujua ufugaji wenye uhalisia zaidi.
Mkuu hii jambo unalodoubt ni kweli tupu. We unadhani tumeumbwa duniani kufanya mchezo tu.
Lazima tumtukuze Muumba na tutarajie malipo jwa mambo yoyote tunayoyafanya
Mkuu nimeshawahi jaribu kuifanya hii biashara. Tangawizi ukiikausha inakatika sana uzito olmost inapungua mara 4 kwa kila kilo moja. Na kama tangawizi ni changa inapungua zaidi ya hapo.
1. Hili ni miongoni mwa tatizo, hakuna KPI kwa watumishi wengi ambazo ni vigezo vya kuassess kazi
2. Mikataba ya ajira ni permanent and pensionable ( wewe unategemea nini, watu wanakuwa very relaxed) lau ajira zingekuwa fixed contracts with possibility of extention subject to your performance...
Vp kuhusu mbinu za kudhibiti wizi na upotevu wa bidhaa store, je ni biashara ambayo unaweza kumkabidhi mtu na kuisimamia ukiwa mbali kwa urahisi? Au lazima uwepo mwenyewe dukani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.