Wanaume ni wa ovyo sana

kunya anye kuku eeh...eti muombe msamaha yaani unacheat na wanawake zaidi ya 10 alafu nikuombe msamaha,, kama hakuna mwanaume asie kitombi basi sitaolewa mm.
Na ukiona mume anatomba nje ujue mke ana matatizo! Nyie wanawake mnajisahau sana mapenzi Zero na mkishazaa ndo kabisa mume haki anaipata Kwa tochi ! Umeolewa ukiwa model unanepeana kama bguruwe majukumu Yako hujui unabaki kumlaume mume ! Mume hapendi kelele na kero
 
Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!

you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??

Si wote. Small number of man ndio wenye standards, they hold their value. The rest ndio kama hivyo
How do you defferentiate btn high value man na players huo ndio mtihan ambao dadaz wengi mnasgindwa
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Ulikuwa hujajua mwanaume akaumbwa ili afaki tu sema Ni suala la maisha ama kipato kinampelekea kukifanya mlokole. Kila mwanaume wanapenda kuwa Kama Suleiman Kama hujui.
Na uelewe hapa duniani watu wanauana ama wanapigania sex, Money and power nothing else majumba na magari ivyo Ni catalyst
 
standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!
Viungo vinapokutana haviulizani standard gani ama wewe umehudhuria lecture ngapi,semina ngapi,sapu ngapi,una nyumba ngapi,una cheo gani, umefanya makampuni MANGAPI. Yaani wewe you're servant to your reason brain.vyenyewe vinaenjoi bila kuangali kuwa wewe una Nini mwenzako Ni ardhi umekutana na mbegu Ni kinda tu Hakuna namna
 
Malipo ni hapahapa...huenda na wew ushagafanya hayo au zaid kwa mtu back huko!!
 
Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!

you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??
Hatuna ubaguzi
 
Kim is
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Got a mm OOP me ibd.
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Duuh..
We umebahatika kumiliki kicheche halafu una generalize kuwa Wanaume Ni Wa Ovyo Sana.. umetuonea bhana!!!
 
Wengi wenu mnaboa sometimes, mnajifanya mnamambo mengi sn, men akiomba game Mara mnasema mmechoka, Mara hamna hisia za kufanya mapenzi, ubize mwingi, mdomo na ujuaji.

Ss unakuta sometime cc men hatupendagi maugomvi yasiyo ya lazima ukicheki huko nje kuna watoto wa kila aina na niwazuri kushinda ww niliyekuweka ndani na wanakuwa na hamu sn ya kupigwa machine.

Embu nambie ni mwanaume gani lijali ataepuka huo mtego?

Sometimes hizi lawama mnazozitoa nyie ndio mmechangia kuzileta.
So mtusqmehe tu.

Mtazamo wng
 
Back
Top Bottom