Kama ilivyo kawaida yetu kwa wanao fatilia bandiko letu huwa tuna jihusisha na uuzaj wa bidhaa za Electronics.
Juzi majira ya saa 4 asubuhi tulipokea oda ya mteja alie hitaji Tv na ya Tcl smart pamoja na redio alidai ametufatilia mda mrefu hapa JF nasiku ya juzi ilikua siku sahihi ya kuagiza...
Hii hali nimekutana nayo maeneo zilipo ofisi za kampuni ya mwananchi (MCL) tabata mwananchi njiani kabisa kuna uvujaji mkubwa wa maji ukipita kama unaenda Ubungo pia kuna maji mengi yana vuja pia napia barabara ya kwenda tabata kisiwani maji yamejaa mpka njia haipitiki watu wanalazimika kupita...
Shamba lipo chanika homboza hekari moja na nusu bei ni milion 11 na nusu lina hati kila kitu hakuna madalali kwa anae hitaji piga simu namba 0686465857/ 0672852415
Kiwanja kipo dondwe sq m 16 kwa 25b ei ni milion 4 na laki 5 vyote vina hati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio tukuka karibu ujiunge na familia ya nafuu electronics ufurahie huduma bora na zenye uhakika. Kwetu mteja...
Majiko ya umeme na gesi ya kisasa
TV, REDIO , home theater music system
Feni AC za KISASA
Chain saw water pump na majenereta
Meza za TV na za kawaida za kisasa
Water dispenser, Brenda, juicer machine
Mashine za popcorn
Mashine za Icecream
Pasi za Umeme za kisasa
Solar panel na betri zake...
Wiki mbili zilizo pita nilichepuka na mwanamke moja pande za tabata mwanmke huyu tulijuana tokea 2014 yeye akiwa moshi mimi DSM.
Tulijuana kupitia mitandao ya kijamii ikawa WhatsApp kwny grp moja lilikua la watu wakijijini kwetu tukaja kupotezana tokea mwaka huo mpk mwaka huu January ndio...
Nimasikitiko makubwa kuona trafic wale wanapokea rushwa wazwaz nilikua nikihadithiwa ila leo nimethibitsha kwa macho yangu japo sikuchukua picha. Trafic alisimamisha gari konda akamwambia dereva muda wao huo konda akampa dereva 5000 na dereva akampa yule askari bila maelezo akaondoka...
Nawasilisha dukuduku langu toka mtandao wa Halotel jana nilipata mshangao baada yakumjibu sms mwenza wangu ndipo nikawa napata sms kutoka kwny namba tofauti zikidai nime watumia ile sms na kuniuliza we nani?. Nikashindwa kuelewa kimetokea nn pia nikaanza kutumiwa sms na namba nyngn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.