Msaada wakuu; Mke wa mtu anasema ana mimba yangu

Amani mfaume

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
3,259
1,389
Wiki mbili zilizo pita nilichepuka na mwanamke moja pande za tabata mwanmke huyu tulijuana tokea 2014 yeye akiwa moshi mimi DSM.

Tulijuana kupitia mitandao ya kijamii ikawa WhatsApp kwny grp moja lilikua la watu wakijijini kwetu tukaja kupotezana tokea mwaka huo mpk mwaka huu January ndio akanitafuta kupitia Facebook mana namba Yangu ya mwanzo nilikua situmii tena.

Akaja DSM tukaonana kwa mara ya kwanza kila moja kavutiwa na mwenzake lkn yy ni mke wa mtu na ana watoto wawili baada ya kuonana nika mwacha mana alishukia kwa kaka yake na tulikutania ubungo nika msindikiza hadi gongolamboto nikabaki stend yy akaondoka.

tukaendelea kuwasiliana ndipo tulipopanga tukutane ili tufanye mapenzi tukakutana tukafanya alifill mziki na akanisifu sana ni kwa mara ya kwanza kupata huduma bora km hyo na akanambia yuko siku za hatari nisi weke wazungu ndani nikajitahd japo nilishindwa kuhimili nikawa nusu nawamalizia nje ikapita hy ilikua mwez wa pil mwanzoni.

Juzi tena akanitafuta akiwa kwenye siku za hatari na alinitahadharisha mwanzo nilifanya kama hawamu ya kwanza zimepita wiki mbili tokea tufanye leo amenipigia sim asubuhi akanambia anajihisi vibaya akaenda kupima akakuta ana mimba.

Je, niamini au nimepigwa chenga ya mwili na inaelekea kaachana na mumewe.
 
Amka hapo ushapingwa chenga ya mwili.

kama unabisha subiri uanze kukamuliwa hela ya kutunza mimb
 
Mwambie hivi " nimefurahi sana kusikia hivyo, naahidi kuitunza mimba na nitamtunza mwanangu akizaliwa" hapo fasta atakupa taarifa kamili kama alikujoki tu au la!
 
Kama huyo Dada ni wa kutoka Arusha...naomba usimwamini kabisa!. Ila kama hatokei huko basi fanya uwezalo....Wa Arusha ni waongo hakuna mfano...anatafuta gia za kukutoa pesa tu hapo!
 
Acha kuzini na wake za watu, tafuta pesa hakuna ufahari kwenye mapenzi chalii yangu, mwisho utapata UKIMWI bure tulia.
Ni wazo zuri ila unge chunguza pesa haziachwi kutafutwa tokea nimezaliwa mpk nimefikia hapa sijawahi ona mtu kachoka kutafuta pesa mapenzi yapo na haya pingiki sawa totolii
 
Amka hapo ushapingwa chenga ya mwili.

kama unabisha subiri uanze kukamuliwa hela ya kutunza mimb
Kwenye swala la hela mbona atanichukia nilishawahi kuapa nikimpa hela mwanamke mkono uwake moto hela ya kutumia nae sawa ila kw yy kisa mimba azae talea nilisha mfanyiaga hvy bint moja alikua anasoma Kampala university mpk akazaa alininunia mpk shv mtoto anaongea ndio tumeanza mawasiliano
 
Mwambie hivi " nimefurahi sana kusikia hivyo, naahidi kuitunza mimba na nitamtunza mwanangu akizaliwa" hapo fasta atakupa taarifa kamili kama alikujoki tu au la!
Nimemjibu tu nijambo la kheri na baraka za mungu akanambia unaona rahisi nika mwambia mbona asipate Malaya anae jiuza upate ww
 
Kama huyo Dada ni wa kutoka Arusha...naomba usimwamini kabisa!. Ila kama hatokei huko basi fanya uwezalo....Wa Arusha ni waongo hakuna mfano...anatafuta gia za kukutoa pesa tu hapo!
Pesa mze hapa wa najua pangu pakavu wanabaki kusifia mashine tam tu pesa kila mtu anatafuta zake sio wa arusha ni wa moshi
 
Kwenye swala la hela mbona atanichukia nilishawahi kuapa nikimpa hela mwanamke mkono uwake moto hela ya kutumia nae sawa ila kw yy kisa mimba azae talea nilisha mfanyiaga hvy bint moja alikua anasoma Kampala university mpk akazaa alininunia mpk shv mtoto anaongea ndio tumeanza mawasiliano
Kumbe ni mzoefu kwa kuachia wazungu ndani ? Huna sababu ya kuomba Ushauri
 
Back
Top Bottom