Mliyowahi kuagiza bidhaa mitandaoni naombeni uzoefu ili nifikiwe na mzigo wangu kwa urahisi na uaminifu nifanyeje?
Na vitu gani nahitaji kuwa navyo ili niagize laptop
Na je nikiagiza laptop iliyopo kwenye picha pale kwenye tangazo itakuja yenye specification exactly hizo hizo au kuja...
60% ya Quran imetoka kwenye biblia na kuna maeneo ukisoma kwenye qurani inakuambia ukasome biblia sasa unapoleta story za kufikirika uje na hoja. Kwanza dini zimekuja kututenganisha hapa duniani
Mwiko unapozunguka ndani ya chungu kuna kelele huwa zinatoka mkuu. Ila sasa kelele zinanoga kama chungu kikiwa chepesi ila lichungu likiwa lizito limejilalia tu alafu linakupigia kelele piga makofi hiyo ng'ombe isikupigie kelele.
Hebu na ww acha ubishi mkuu huo ndo ukweli kwani hujaoma kijana mdogo alivyomtoa jasho professor wa sheria na dogo ni degree holder. Ukiambiwa kitu usibishe wafanyakazi wengi wa serikali wenye nyadhifa kubwa kubwa wana midomo tu lakin ukija kwenye suala la kutoa mawazo au fikra za maana hakuna...
We jamaa nimekwambia acha kutupatia story za wazungu zilizotungwa zikawekwe shuleni za kiafrika kuwazuga fuatilia historia ya africa ya ukweli utajua vizuri mambo yakoje
Hivi ww duniani hapa nchi zote zilizoendelea hazitumii mfumo wa democrasia hata hiyo marekani unayoiona kwa jicho la kwaida...
Hivi ww unajua unachokiongea au inajua unachokiandika au unaandika tu kisa una smartphone ya kuingia JF. Au kisa umesoma history ya kubumba ile ya darasani take care rudi darasani mkuu
Samahani wadau. Kwenye vigezo vya chuo kinachoangaliwa cutt off point ziwe 4 au principal pass mbili. Kwamba ukiwa na CEF unaenda? Au lazima uanzie DDF?
CE=4 and D+D=4.
Je mtu huyu wa CEF anaenda?
Nashukuru nimekuwa wa kwanza kupost. Ila hawezi kuwa na akili akakubali kukukorogesha mavi bila ww kujua. Huyo hana akili hata kidogo. Angekuwa na akili asingeweze kujaribu kuubadili hata chembe uasili wake. Angekuwa na akili asingeweza kukubali kutobolewa tundu lingine tofaut na lile alilopewa...
Wangwana
Naomba kujua kwa Dar es salam wapi au duka gani naweza pata motherboard ya hp pavilion g6. Msaada wenu jamani wangwana. Ikiwezekana na mawasiliano mnipe kabisa
Wangwana kichwa kinajieleza hapo.
Naomba kujua kwa dar es salam wapi au duka gani naweza pata motherboard ya hp pavilion g6. Msaada wenu jamani wangwana. Ikiwezekana na mawasiliano mnipe kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.