Mimi wa kwangu nimemzalisha mwenyewe. Na sasa naishi naye ila Pamoja na yote ana kazi yake na vibiziness vya kujiongezea kipato na vilevile nilimkuta tayari ana maisha yake kwahiyo sioni hasara kumumuhudumia kwa nilichonacho kulingana na uwezo wangu. Kwa kifupi ni mtafutaji hata nisipolipa kodi...
Cjamaanisha kumtegemea mwanamke wa miaka 30 na kuendelea. Ni kwamba wengi wao wanajua nini maana ya maisha, kufanya shughuli yeyote ile ya maana ya kumuingizia kipato hata kama 5000 kwa wiki kama ajira imekuwa ngumu simaanishi kuuza K. Na siyo kila kitu kumtegemea mwanaume tofauti na hao wa...
Ha ha ha ulijuaje? Na wakikutema sa nyingine huwa hawarudi nyuma tena maana wanaona janaume hili akili zake za kitoto siwezi kufika naye mbali hata kufanya naye vitu vya maana zaidi ya kupoteza muda. Mkipata hiyo bahati msichezee shilingi chooni. Ukipendwa pendeka na ujifunze kuheshimu hisia...
Sasa kwani wenyewe walipenda kukaa bila kuolewa? Si ndio nyie mnaowachezea mpaka wanajikuta umri umeenda halafu badae mnawaona hawafai tena mnataka wa kuanzia miaka 18-27. Chamsingi angalia mwanamke ambaye ukiishi naye mnaweza kufanya vitu vya maana na siyo mambo ya starehe. Umri siyo kigezo...
Kama ni ivyo nadhani hata wazazi wako hususani baba ako angemuacha mama ako. Ndomana nasema vitoto vya kabalehe jana mna shida nyie. Mnawaza ngono tu na starehe hakuna cha maana tena wengi wao kula kulala tu kwao. Mfyuuuuuu [emoji53]
Hebu tuliza kijiti hicho kijana angalia mwanamke ambaye...
Mwacheni huyo zimwi hangaike na vitoto. Usikute hata yeye mwenyewe mtoto kabalehe jana awazi vitu vya maana anahangaikia kuwasema wadada wa miaka 30----.[emoji51]
Unaona sifa mwenyewe kuongea upumbavu kama huo! Unafikiri wadada wote wenye umri kuanzia miaka 30 ndo wana dhiki ya kuolewa? Tena afadhali na hao maana ukioa wanatulia kweli kuliko videmu vinavyoanza kuvunja ungo, maana wengi wao mapepe tu bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu...
Acha kumshauri mwenzio mabaya. Unafikiri wote ni wapenda michepuko kama ww. Michepuko nao wanawawaza wanaowapenda ww utakalia kuchunwa na kuliwa ivyo visent vyako, baadae na ww utataka mwanamke wa kutulia na ww. Take care. Cha msingi kuckilizana, kuheshimiana na kila mmoja amuone mwenzie...
Mbona yule shoga aliyehojiwa na Zamaradi hadi kupeleka kipindi chake kufungiwa yule shoga anaitwa Kaoge, ina maana hajamuona zaidi ya James tu? Kwanza mashoga wapo wengi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.