Nawasalimu nyote kila mmoja kwa nafasi yake , kama nilivyoeleza hapo juu , kwa yeyote anaweza kupata hizo cable za photocopy machine IR 2520 -cable ya kutoka kwenye IP board kenda katika scan board pana na cable ya kutoka scan board kwenda ADF.
Nipo Dar maeneo ya posta -0753390827
Heshima kwenu nyote wana jukwaa, naomba kufahamu hili tatizo kwenye picha hapo chini kama linavyoonekana kwenye picha linasababishwa na nini na jinsi ya kulitatua. Naomba kuwasilisha kwa yeyote ambaye anaufahamu wa hili tatizo
Kwanza kabisa nawasalimu nyote wakubwa kwa wadogo poleni na majikumu ya ujenzi wa taifa.Mimi ni kijana ambaye hivi karibuni nimehitimu elimu ya kidato cha sita lakini kiukweli matokeo si mazuri ,nilikuwa nasoma nasoma mchepuo wa art HGL na nimepata ufaulu ufuatao HISTORY-C,GEOGRAPHY- E, na...
Wakuu heshima kwenu,
Naomba kufahamu mfumo wa ulinzi wa Israel,teknolojia kwenye upande wa uzalishaji wa silaha nzito na uwezo wake wa kijeshi kiujumla duniani.
Ni hayo tuu wadau.
Naomba kujuzwa kuhusu grade za watahiniwa binafsi(private candidates) je zinahesabiwa sawa na school candidates au kunautofauti katika ugawaji wa Hizo alama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.