i support what u'v said. GOD help her and her beby please, let her forget by giving smooth way of handling her life. In JESUS CHRIST NAME, i'v pryd Amen.
Watu hawaoani kwa sababu ya uzuri wa muonekano. Umempenda kwa umbile au kutoka moyoni?
Kama umempenda kutoka moyoni hilo suala lisingekusumbua kiasi hicho cha kutaka kumuacha.
Muombe MUNGU WA MBINGUNI atakusaidieni mfikie malengo yenu na kuwa na ndoa yenye amani na upendo.
Unaweza kutafuta...
ukitazama maana ya kina ya maandishi hayo, ni ufumbuzi wa shortcut juu ya changamoto alizoziainisha.
Na always shortcut can cut you.
Ufumbuzi wa kujitenga ni mbegu ya matatizo aliyoonya hayati mwalimu. Wakishajitenga kabla hawajaenjoy kujitenga kwao ataibu mtu mwingine na kudai unguja iwe...
Si kila msiba mhe. Rais atahudhuria, ni kulingana na majukumu na ratiba, ratiba nyingne hazimruhusu kutuma mwakilishi inabidi awepo,inabidi atume mwakilishi mwakilishi kwenye misiba , mazingira kama hayo yakitokea.
Jeshini uwa wanatangaza nafasi za kazi za kuitaji wataalamu(wasomi), nielewavyo mimi, umri hauwi kigezo. Usisite kupita eneo husika kwa maelezo ya kina
Aende hospital kuna sindano watamchoma (dawa iko vichupa vidogo) ili kukata damu, ni hali inayoweza kutokea asishtuke sana, pia apunguze vitu vya sukari
Soma vizuri mkuu, madiwani na meya wanapaswa kuelewa uozo kwenye maeneo yao, ukimya wao ndo unafanya wahusishwe, kama hawahusiki wangepaza sauti zao, silence means yes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.