Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi
4ram
64gb
Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah
Kamera nzuri
Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana)
NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE...
Habari za humu wanajukwaa
Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu vidogo vidogo kama memory,flash,eaphones tu
Ubora wao bidhaa zao ni halisi kama zinavyookenana kwenye...
Habar za kazi wana jf
Naomba msaada wa kujua ni kozi gani nzuri ambayo ni short kozi ambayo naweza kusoma na nikafahama mambo ya fuatayo
1; jinsi ya kutengeneza websites.
2; jinsi ya kutengeneza simple database mbalimbali.
3; Programing n.k
Japo nina knowledge ya computer yaani hizi computer...
Habar za kazi wana JF naomba kujua kuhusu kilimo cha hili zao
Je, mbegu zake zinaweza kupatikana wapi?
Je, soko lake lipoje na linawez kustaw maeneo ya baridi kama vile Njombe na Iringa?
NATANGULIZA SHUKRANI
Habari za muda huu wadau. Kuna mahali nilikuwa napita kwenye maombi ya nafasi za intern nikakutana na hili swali naomba wajuzi msaada wenu, vitu gani vinahitajika hapoo hasa
NAFASI: Communication Intern
SWALI: Please state briefly the reasons why you think you are an outstanding candidate for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.