Matindi94
Member
- Oct 12, 2016
- 46
- 43
Habari za humu wanajukwaa
Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu vidogo vidogo kama memory,flash,eaphones tu
Ubora wao bidhaa zao ni halisi kama zinavyookenana kwenye descriptions zao
Na inachukua muda gani kukufikia tangu umeagiza
Na je wanatumia njia gani kusafirisha hadi inifikie
MFANO HII SIMU HAPA JE INAWEZA KUWA ORIGINAL NA INA KILA KITU KINACHOONYESHWA HAPA MAANA NATAKA NIAGIZE
Naomba kuuliza kwa wale wazoefu wa kununua bidhaa mbali mbali online hasa ALIEXPRESS je maana sijawah kuagiza kwenye platform hii mm huwa natumia KIKUU kuagiza vitu vidogo vidogo kama memory,flash,eaphones tu
Ubora wao bidhaa zao ni halisi kama zinavyookenana kwenye descriptions zao
Na inachukua muda gani kukufikia tangu umeagiza
Na je wanatumia njia gani kusafirisha hadi inifikie
MFANO HII SIMU HAPA JE INAWEZA KUWA ORIGINAL NA INA KILA KITU KINACHOONYESHWA HAPA MAANA NATAKA NIAGIZE