Nimeitazama hii video, Nimeshangaa kweli ni kwamba wanaume hawapo hadi kufikia wadada kutumia Dildo.
Tena sio katika mlango wa mbele, ni mlango wa nyuma, bahati nzuri ikazama yote nzima ikabidi mdada afanyiwe Anal surgery kuiondoa.
Hakika dunia inahitaji toba ya nguvu, maana tulipofikia huku...
Hii video, ni pale Binti wa kichina anapomtambulisha rafiki wake wa kiume (Boyfriend) kwa wazazi wake.
Haya maisha yangekuwa Tanzania sidhani kama vijana wengi wangemudu kuoa wadada, maana kukubaliwa wewe mwanaume na wazazi wa binti ni zaidi ya usaili wa pale utumishi.
Naomba uangalie video...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameambatana na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Kikwete kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya kuhudhuria tukio la kuapishwa kwa Cyril Ramaphosa hapo kesho.
Ifike mahali tutenganishe siasa na kazi, nimechukizwa sana na Hawa watu wanaojifanya ni viongozi wa Chama cha kijani kuingilia majukumu ya watumishi.
Tena nitoe Kongole la nguvu kwa huyu daktari kamjibu vizuri, ifike mahali tuheshimiane, kuwa katibu mwenezi wa chama cha kijani (CCM) haina maana...
Husika na Kichwa cha habari hapo juu, Mh. Makamu wa Rais Mama Samiah Suluhu Hassan ashangazwa na watu wanaotumia muda wao kuhoji kuhusu ulinzi wa RAIS...
Hivyo amewataka, watu hao kutafakari mema aliyoyafanya Mh. Rais na sio kutumia muda huo kujadili kuhusu ulinzi wa Mh. JPM...
Huu ni ujumbe...
Husika na kichwa cha habari, hapo juu
Tumepata dharula hapa Ubungo stand, sisi abiria wa kuelekea Mwanza tulikata tiketi za basi la BEST LINE, lakini kufika asubuhi tukabadilishiwa usafiri wakidai basi hili ni bovu, baada ya kufanya uchunguzi tukaona ni janja janja za hawa watu wa ubungo...
Husika na kichwa cha habari hapo juu, ningependa kufahamu ni mahali gani pale kariakoo nitaweza kupata zile bidhaa za kutengenezea sabuni.
Ahsanteni, na muwe na mchana mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeibiwa Laptop MacBook Pro 15" mnamo tarehe 27 Machi 2019 muda wa kazi. Ofisi ilikuwa imefungwa kwa ufunguo mimi nikiwa kikaoni jengo jingine hapo hapo kazini. Serial number ni C02RT4WAG8WP.
Zawadi ya Shillingi 5,000,000 (million tano) itatolewa kwa atakayewezesha kupatikana kwake. Walau...
TAARIFA
Kipindi cha 360 cha leo ambacho Makamo wa Kwanza wa Rais Mstaafu wa SMZ na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Maalim Seif alialikwa kuzungumza kimefutwa kutokana na kile @CloudsMediaLive walichokiita "sababu zilizo nje ya uwezo wao".
Ado Shaibu, Mwenezi, ACT
@zittokabwe...
Leo ningependa kuzungumzia hii biashara ya kuku inayofanywa na baadhi ya wafugaji ambao mwisho wa siku wanazalisha vifaranga na kuwauzia wajasiliamali wengine.
Somo hili ni mahususi kwa wale wajasiriamali ambao wanakimbilia kununua vifaranga kwa watu hapa na walenga wale wanaofuga Kuroiler ama...
Ni kisa cha kweli kilichompata Jirani yangu hapa, alikuwa akiishi na mwanamke ambaye yeye anasema alikuwa ameokoka na mara nyingi alipokuwa akichelewa kurudi kutoka kazini au yule mwanamke akisikia fununu za aina yoyote kumhusu yeye kuwa yuko na ukaribu na mwanamke yeyote huko kazini kwake basi...
Baada ya kutumia mbinu zangu mbalimbali hatimae nimegundua shemeji yenu alinisaliti na baada ya kumuuliza kwa upole kabisa huku nikiwa nalengwa na machozi imebidi awe muwazi tu ni kweli alinizunguka na hajui kwanini ilitokea hivyo ameniomba kila aina ya msamaha bado nimebaki njia panda sijajua...
Andiko hili ni mahususi kwa wanaume wasio na ndoto finyu. Kama una ndoto finyu za maisha it's okey, ila limelenga watu wa aina mbili
1. Wanaume wenye ndoto na kiu ya mafanikio. Wanaoamini kuwa MUNGU ameweka kitu kikubwa ndani yao, na wako tayari kukitafuta!
2. Wanawake ambao wanajua kusudi...
Mwisho wa siku Single mother nae ni mwanamke kama wanawake wengine, anayo kila sababu ya kuhitaji kupendwa, kuolewa, na kuwa na mwanaume ampendae.
Yeye kuwa na mtoto hakumfanyi asivutie, asipendwe au aonekane disperate na kufanywa kama chombo cha starehe na wanaume wakware. Ndio, yeye ni mama...
Katika moja ya Interview ambayo Barack Obama alifanya na jarida la "Black Enterprise Magazine" la nchini Marekani, muandishi alimuuliza kuhusiana na hali ya uchumi ya Marekani.
Aliulizwa, "Bwana Obama, Je una hofu juu ya hali ya uchumi wa Marekani inavyoenda?"
Ambapo Obama alijibu, "Hapana...
Kifupi: ukienda kumpima DNA mwanao, inawezekana mtambo ukaonyesha si mwanao, wakati ni mwanao kabisa, sababu ya "mutation" kwenye vinasaba...
Utafiti huu umefanywa kwa wanaume mbalimbali 100 waishio jijini Dar es salaam kwa kuchukua sampuli kutoka kwa baba na mtoto na kisha kufanyiwa paternity...
Habari....
Husika na kichwa cha habari hapo juu binafsi ningependa kujua huyu bilionea anaetuwakilisha kimataifa/ulimwenguni (duniani) ni nani hasa kwa majina......
Maana huyu JF kuna tabia ya members mbalimbali kuwapa watu hadhi ya ubilionea ilihali kimataifa hawajulikani.....
Katika...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi kwa wataalamu wa Tiba watakaotoa huduma za afya katika hospitali, vituo vya afya na zahanatiza Jeshi hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari, msemaji wa JWTZ Kanali Ramadhani Dogoli amesema, JWTZ limetoa nafasi ya kuandikishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.