Habari za kwenu wakuu
Mwenzenu nina shida hii,ushauri wenu utafaa sana
Kiufupi ni kuwa
Miaka mingi kidogo nikiwa masomoni huko Dar es Salaam nilibahatika kumpata binti mmoja ambaye baada ya muda tulikuwa wapenzi-tulipendana
Nilimzidi mwaka mmoja kimasomo as in kipindi namaliza...
Jumamosi ya leo ikitamalaki kwa utulivu iliyonao...nipo mitaa ya Nyakato-Meko Mwanza nikifuatilia 'games' za ligi kuu ya Uingereza
Nmeagiza kinywaji...kikaja
Ila sasa kinanuka kinyama...cha kwanza sikukimaliza(harufu ilinishinda) nmeagiza cha pili pia habari ni kama cha mwanzo.
Sina mashaka...
Mtukufu sana rais wetu wa awamu ya tano mh.JPM nakuomba tafadhali nogesha hii sherehe ya taarifa ya mchanga ANGALAU UTOEPO AJIRA HATA ZA WALIMU WA SANAA
NOGESHA BABA
Jipu la kutosikia. Kuona wanayozungumza wananchi si ya maana, wananchi (wenye nchi yao) leo wanasimangwa, wanakejeliwa, hawatiliwi maanani kwa kile wasemacho.
Jipu la upofu. Yanayotukia leo katika jamii yetu hayana maana kwao, hali inazidi kuwa mbaya, polisi wanakufa lakini hili halionekani...
Kuna hii tabia ya mtu(unayemfahamu na anayekufahamu kabisa) anakutumia SMS yenye kusema......'naomba unisaidie sh.elfu kumi...nisaidie nina shida'
Unabaki unajiuliza huyu jamaa ana uhakika gani kama niko na hii kitu...kwann watu tunasahau haka kasentensi??? 'kama unayo'
baada ya kukengeuka sana kama kijana...ni kitu gani mama yako alikisema ama alikifanya na kikakurudisha katika mstari mnyoofu???
Share na mimi mkuu kama itakupendeza.
Dedication
OCTOPIZZO mama
Ikuliwaze kipindi unachangia
KARIBU
Tafadhalini sana wakuu
Kwa anayejua chochote...ama jambo lolote...kuhusu hilo jina hapo juu....tafadhali anijulishe
Nasoma maelezo flani ya kimombo yananichanganya sana.
Asanteni na karibuni kwa michango
Wakuu...salamu kwenu nyote
Kuna mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu...alikuwa anasoma PCB na alipata divison TWO points 10
lakini mpaka naandika haya hajafanikiwa kupata chuo...si round ya kwanza hata hii ya pili.
Kwa mwenye kujua anijuze nini tatizo...na kama hali itaendelea hivi nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.