fuma
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 214
- 407
Jumamosi ya leo ikitamalaki kwa utulivu iliyonao...nipo mitaa ya Nyakato-Meko Mwanza nikifuatilia 'games' za ligi kuu ya Uingereza
Nmeagiza kinywaji...kikaja
Ila sasa kinanuka kinyama...cha kwanza sikukimaliza(harufu ilinishinda) nmeagiza cha pili pia habari ni kama cha mwanzo.
Sina mashaka kabisa na kinywa changu
Sasa basi
Wadada mnaohudumia katika sehemu zetu hizi...jitahidini basi kunawa mikono yenu...inanuka nawaambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeagiza kinywaji...kikaja
Ila sasa kinanuka kinyama...cha kwanza sikukimaliza(harufu ilinishinda) nmeagiza cha pili pia habari ni kama cha mwanzo.
Sina mashaka kabisa na kinywa changu
Sasa basi
Wadada mnaohudumia katika sehemu zetu hizi...jitahidini basi kunawa mikono yenu...inanuka nawaambia
Sent using Jamii Forums mobile app