Naona suala la mkopo lilikuwa la kisiasa kwaajili ya kumuingiza mjomba madarakani.ivi kama fleshers from six wamekosa mimi mweye equivalent yaani diploma nitapata kweli?
Poleni na kazi wana jf coz mna2saidia mambo mengi sana,kwa leo mimi naomba msaada kuhusu hili;Nina diesel injini HP20 so nilikuwa natafuta motor inayoweza kunizalishia umeme mwingi nawezaipata wapi kwa hapa dar na inawezakuwa kiasi gani?asanten sana
Huyu aliye tuma hii thread hata akienda kwa babu haponi labda achomwe sindano stini kwenye kitovu chake,nahisi kitovu chake kitakuwa kikubwa kama bilinganya.pole sana
Najua kuwa jimbo la musoma vijijini linaongozwa na nimroad mkono,lakini nackia kuwa jamaa huyuu anampunga wa kutisha,naye tunaweza muweka kundi la mafisadi au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.