Kweli kabisa mkuu. Mteja anakuwa hakatei pesa nyingi hata wakala nae kale kakamisheni kanaongezeka halafu hakuna masuala ya kusubiri mwisho wa mwezi ni papo kwa papo unachukukua chako mapema.
😂😂😂HAO UNAOWAGAWIA NDIO WALIOLETA SHIDA ZOTE HIZI. BURGAIN NA WAKALA ILI VIJANA WAPATE KULA MKUU KWASABABU BAADA YA SERIKALI KULETA TOZO BIASHARA YA UWAKALA WA MITANDAO YA SIMU IMEKUWA NGUMU SANA. WABARIKIKIWE WALIOLETA LIPA NAMBA NDIO IMELETA AHUENI KWENYE HII BUSINESS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.