Habari Ndugu..
Kama Umechaguliwa Chuo kikuu Cha Dodoma Mwaka huu
...
Tuma text whatsapp kwenye namba Hyo hapo Chini Ili uungwe kwenye Group za UDOM... na uweze kupata Information Mbali mbali kuhusu Chuo, Kozi, Mikopo, na vinginevyo...
WhatsApp 0742470059
Habari Wana JF.
Kwa majina naitwa Sara...
wiki Mbili zilizopita... yaani tar 21 Niliingia kwenye Mzunguko wangu wa hedhi kama kawaida, na Huu mzunguko haujawah yumba uko Constant...
Tarehe 27.. nilikutana na Mpenzi wangu Kimwili Na Baada ya kumaliza hapo Kichwa kiliniuma na baadae kdg Tumbo...
Nunua Computer yenye Uwezo kabla Hujaenda Chuo... Pata Laptops kwa bei Chee 0742470059
HP's EliteBook Folio is like a MacBook that runs Windows.
HDD 500GB
RAM 4GB
Core i5
Long Life Battery
Mikoani Tunatuma
UDOM-TECH OFA
0742470059
Nimeikuta sehemu hii kitu...
'' Mh Magufuli anadanganywa na watendaji wake?
Jana wakati wa mkutano wa baraza la wafanyabiashara kitu kimoja kilikuwa wazi. Kinachosemwa na serikali na hali halisi mtaani ni tofauti kama mbingu na dunia.
Mfano wa kwanza:
Kuna mwanamke alitokea bandarini akatoa...
habari wana JF,
Nina swali ambalo watu wengi wananiuliza, kwamba je kwa wenye average ya D kwenye matokeo ya darasa la saba, wanaenda Form 1??
Naombeni msaada
JE WAJUA?
Je wajua product za udom hukubalika maofisini* field na kazini?
JE WAJUA, UDOM pekee ndo chuo kinachodahili koz nyingi zaidi mwaka huu, kinadahili Coz 80...
Pia Ni chuo kikubwa Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Ndani ya Chuo kiuu cha Dodoma kuna wizara nane...
HABARINI WANA JF....
mm ni mwanafunzi wa chuo na ninatamani sana kuja kua mkulima mkubwa wa mazao ya biashara kamampunga, mahindi,vitunguu,matikiti na mengineyo....
Kila kitu kina mwanzo wake, natambua uwepo wa watu walioanza mapema ukulima, pia wakulima wa miaka mingi hapa..
Mwanzo wangu...
Katika siku za hivi karibuni tangu mwaka 2011 na kuendelea ndipo teknolojia ilikua kwa kasi nchini. Maana yangu kubwa ni kwamba teknolojia ni ajira kubwa sana kwa sasa hapa mjini.
Je unajua unahitaji mtaji wa sh. lak 5 tu kuanza biashara. Je wajua masoko ya teknolojia yako wapi?
Hebu naomba...
KAULI HII IMETAWALA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA mh Joyce Ndalichako alisema kwamba haitaji E kwa wale form 6 kitu ambacho kinaleta mkanganyiko kwa watu wengi kutokana na vigezo vya TCU...
TCU walisema mtu akiwa na AE,BE,CE,DD...ambazo zina point 4.0
Ukweli ni kwamba sina uhakika kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.