Nimesikia tetesi kuwa vibali vimetoka lakini mkeka haujawekwa hadharani, sasa tamisemi hawaoni hii itatengeneza mwanya wa mabosi wa Halmashauri kuficha barua na kuwanyima watu haki zao?
Ingependeza kama mkeka ungewekwa hadharani ili wahusika wakapambane na maboss waachie.
Hivi we jamaa unaongea ujinga gani ? unajaza vimaneno vya hospitali tu ila hujui kitu, sasa intern na anaesthesia vinahusiana vipi, kama hujui kaa kimya au changia kama wengine sio kujifanya daktari wakati huelewei lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi mazingira ninayoishi siwezi kufanya mazoezi nje hivyo nakimbia step za hapo hapo (kama kwenye treadmill) kwa dk15 then push ups na squats, Je hii itanisaidia kua fit (pumzi) ? maana ndo nimeanza kama wiki
Mwaka huu narudi mtaani kama mwananchi, sitaki kuendelea na michezo ya kihuni ya kurukaruka huko nisije kuharibikiwa ,ndo maana nataka niwe na mtu anaeeleweka.
Huyu jamaa anajidai ana busara ila nyimbo zake zote na bro wake ni ujinga na matusi tu. mfano dude na unanifanya nicome wameimba ujinga tu mle ndani sijui kwa nn hua hazifungiwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.