Search results

  1. Gagurito

    Fahamu kilimo bora cha njegere na jinsi ya kudhibiti wadudu waharibifu

    Wadau wanaotaka kujua kuhusu kilimo cha njegere WAkuu mwenye uzoefu tunaomba tuelekezane juu ya kilimo cha zao hili. ----- ---- ---- Fahamu kiundani hatua za kulima njegere Nakusihi kulima kilimo hiki kwa kwa sababu , kilimo cha njegere ni kilimo chenye tija kwa wakulima. Njegere ni mbegu...
  2. Gagurito

    Sababu za kupanda bei kitunguu 2015

    Wakuu mwaka huu 2015 umekuwa tofauti sana na mwaka jana wa 2014. Soko la kitunguu limekuwa gumzo mwaka huu, mkulima kauza gunia moja la kg 100 mpaka Tsh. 250,000 shambani wakati mwaka wa jana miezi hii bei ilikuwa inachez kati ya Tsh. 30,000-50,000. Nimefatilia kwa umakini sana juu ya...
  3. Gagurito

    Water Pump nzuri

    Nishaurini juu ya water pump nzuri, kubwa, yakisasa, imara, fuel economical etc kwa ajiri ya kilimo cha umwagiliaji wa shamba lenye ekari 8.
  4. Gagurito

    Tatizo la Internet kwenye mtandao wa Tigo

    toka jana saa 6 mchana sipati mtandao wa internet, ukija unakaa dakika 30 unapotea yani ni tabu. Nilinunua tigo shop. Msaada wa kuirekebisha pls
  5. Gagurito

    Natafuta mawasiliano ya Baraka wa Vitunguu

    alijitambulisha kwa jina la joseph, yeye anahusika na mbegu za vitunguu pamoja na kilimo chake bagamoyo na mikoan. Naombeni namba zake zinazopatikana ile 0655003510 haipatikani.
  6. Gagurito

    Weka order mashuka mtumba safi 1st grade whatsapp 0716053305

    Rafiki yangu anauza mashuka ya mtumba safi sana, mazuri ya grade ya juu kwa bei nafuu sana. Kwa kutaka sample whatsapp 0716053305. Bei maelewano
  7. Gagurito

    Smartphone ya 300,000

    kwa shiling 300,000 je naweza kupata smartphone gani nzuri? Nisaidieni wadau
  8. Gagurito

    Ongezeko la mshahara 2014

    kwa yeyote anayefahamu atujuze, July ndio hii.
  9. Gagurito

    Uhakika wa biashara kwa mtandao wa e-bay

    Je kuna yeyote aliyefanikiwa kununua bidhaa yoyote kupitia mtandao huu? Je ni salama? Mpaka kupata bidhaa yako ni mchakato wa siku ngapi? Naomba uzoefu wako.
  10. Gagurito

    Tecno D9

    Bei gani hiyo simu inauzwa?
  11. Gagurito

    Huawei y300

    Kwa wanaojua hii simu mnasemaje? Je inafaa kuinunua? Bei yake ipo vp?
  12. Gagurito

    Msaada Tecno P5 haiingizi Chaji

    Nimejaribu chaji 3 tofauti za tecno P5 but imeshindikana. Msada please!
  13. Gagurito

    Gharama za Photo Printers!

    Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI NIPO KTK MCHAKATO WA KUMILIKI PHOTO STUDIO.
  14. Gagurito

    Machapisho ya Mwl. Nyerere

    mwenye links za machapisho ya vitabu vya mwalimu nyerere tunaomba aweke hapa tupakue (download).
  15. Gagurito

    Nisaidieni, mwanangu anaumwa!

    Siku 5 zimepita sasa alikuwa anasumbuliwa na mafua na kikohozi kidogo. leo katapika tukampeleka hospital, huko kapimwa kaoneka na malaria, pia aliongezwa drip ya maji. Tupo nyumbani bado hajatulia kama kawaida, tatizo hataki kula na ananyonya kidogo. Akilala anajinyonga nyonga, hatulii. Anaumri...
  16. Gagurito

    Unafiki wa Wabunge wa Tanzania: Kwanini hawalipi kodi?

    Nchi hii haiwezi kuendelea kama wananchi wa nchi hii hawatafanyakazi na kulipa kodi. Tupo takribani 44,929,002 ila wanaokadiliwa kulipa kodi (watu pamoja na mashirika) ni 2.7 m. Cha ajabu wabunge wetu licha ya kupata mishahara minono (takribani 12m kwa mwezi) hawalipi kodi. Mwalimu wa...
  17. Gagurito

    Vijana na Ndoto za Siasa Tanzania!

    Vijana wengi hawajitambui, wanawaza siasa kwa mtazamo wa kuneemeka na maposho posho, wachache sana wanawaza siasa njia sahihi ya kuikomboa tanzania toka matatiszo yanayotukabili. we have to shape our minds, let us think the future of this country under national development perspective NOT on...
  18. Gagurito

    Ushauri wa kina wakitaalamu wa haraka tafadhari

    Rafiki yangu anasumbuliwa na Asthma. Kwa muda wa mwaka sasa kifua hakijambana ILA jana kimembana sana, alikuwa anapumua kwa tabu, mapigo ya moyo yanakwenda kwa kasi na miguu na mikono kutetemeka kama vile mtu mwenye degedege, mwili kuchemka na kutoa jasho jingi pia analalamika kichwa kinamuuma...
  19. Gagurito

    Jwtz: Nini kinaendelea wadau?

    Mwaka huu ndio unaelekea ukingoni, vipi zile nafasi za JWTZ professiònals mbona kimya?
  20. Gagurito

    TRUE STORY: Kutokujua kingereza kwamsababishia kifo kijana!

    TRUE STORY: Kijana kajiua baada ya kudanganywa na rafiki zake kuwa ameathirika, alipata magonjwa ya zinaa, akaenda kupina na UKIMWI ikaonekana yupo NEGATIVE. Kwa uelewa wake mdogo wa lugha ya kingereza ikabidi aombe msaada wa tafsiri la neno hilo kwa wenzake ambao walimdanganya. Hili tukio...
Back
Top Bottom