TRUE STORY: Kutokujua kingereza kwamsababishia kifo kijana!

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
804
TRUE STORY: Kijana kajiua baada ya kudanganywa na rafiki zake kuwa ameathirika, alipata magonjwa ya zinaa, akaenda kupina na UKIMWI ikaonekana yupo NEGATIVE. Kwa uelewa wake mdogo wa lugha ya kingereza ikabidi aombe msaada wa tafsiri la neno hilo kwa wenzake ambao walimdanganya. Hili tukio limetokea Singida majuzi.

Jamani tujenge utamaduni wa kufundishana lugha ya kingereza kwa wenzi wetu, tuelimishane juu ya HIV/AIDS pia!

Niliwamiss sana humu MMU! @ ALL
 
Lugha ibadilishwe kwenye hizo zahanati/hospitali i.e watoe majibu kwa kiswahili! problem will be solved right?
 
poor him!kwan ukienda kupima majibu unasomewa na kama mzima unapewa hongera endelea kujitunza au ye alipopewa alikimbia na karatasi..
 
poor him!kwan ukienda kupima majibu unasomewa na kama mzima unapewa hongera endelea kujitunza au ye alipopewa alikimbia na karatasi..

Hapo sasa, hata mimi sielewi niaje awafuate rafiki zake instead ya dokta alie mcheck!
 
TRUE STORY: Kijana kajiua baada ya kudanganywa na rafiki zake kuwa ameathirika, alipata magonjwa ya zinaa, akaenda kupina na UKIMWI ikaonekana yupo NEGATIVE. Kwa uelewa wake mdogo wa lugha ya kingereza ikabidi aombe msaada wa tafsiri la neno hilo kwa wenzake ambao walimdanganya. Hili tukio limetokea Singida majuzi.

Jamani tujenge utamaduni wa kufundishana lugha ya kingereza kwa wenzi wetu, tuelimishane juu ya HIV/AIDS pia!

Niliwamiss sana humu MMU! @ ALL

Sidhani kama tatizo ni lugha hapo...naweza kukuhakikishia kuwa 'hakuna mtu anayekwenda kwenye kituo cha tiba (zahanati, kituo cha afya, au hospitali) kupima HIV, akapewa ushauri nasaha...kisha hasielezewe majibu yake yana maana gani'. Nilisikia hili jambo kwenye vyombo vya habari nikabaki nashangaa pasi na kuelewa what really has happened! Majibu aliyapataje toka maabara kama si kwa daktari? na haiwezekani dakatari hasimueleweshe majibu yake yana maana gani? je, hakumuamini daktari wake mpaka kiasi cha kwenda kuuliza rafiki? alipoambiwa tofauti na marafiki kwa nini hakurudi kwa daktari?!

Tukilaumu kiingereza hapa sidhani kama tutakuwa correct...kama hakuelezewa majibu yake, basi ni uozo wa hospitali aliyokwenda, kama lielezewa na hakuamini..akaamini marafiki instead..then inaonyesha jinsi gani watu wanavyokosa imani na mfumo mzima wa afya Tanzania!
 
Back
Top Bottom