Safe sex ndo mpango mkuu haya mengine ya ziada mis nipate tu safe sex jumamosi kuamkia jumapili basi kama kupika napika nafua nafanya usafi sasa girlfriend wa nini sasa?
Kwa LEADERS nikushauri kitu ukitaka uutumie ule uwanja mpaka asubuh...fanya hiv ita WAANDISHI WA HABARI tangaza rasmi kujiunga na CCM chukua kadi kabsa halafu baada ya wiki moja andaa TAMASHA mualike na MAKONDA awe mgeni rasmi...hapo lazma utaruhusiwa mpaka asubuh.....simple like...
Kuna mdada anaitwa DOREEN KABUCHE aisee huyu nae ni shida aliingia top ten o level na a level kote alisoma BENJAMIN SEC sahv na chuo UDSM alikua best student 2014...sahv yuko udsm anafundisha nadhan
Naomba niulizie viatu vya ngozi kutoka china sh ngap size no 44 nkitaka kama pair 10 hiv rangi mchanganyiko nyeusi na brown aina tofaut tofaut
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.