Search results

  1. dyeanka

    Tetesi: Raila Odinga kugombea Urais Kenya 2022 kupitia chama tawala cha Jubilee

    RAILA Odinga anatoka katika moja ya familia maarufu kisiasa nchini Kenya. Baba yake, marehemu Jaramogi Oginga Odinga, alikuwa mmojawapo wa watu muhimu katika uwanja wa siasa nchini Kenya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana 2017, na ndiye alikuwa mpinzani mkuu dhidi ya Rais Uhuru Kenyata ambaye...
  2. dyeanka

    UN Umoja wa Mataifa yaipongeza Tanzania kwa Amani iliyonayo

    Kupitia taarifa ya habari ya ITV muwakilishi wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais Magufuli kwa kuilinda amani ya Tanzania. Muwakilishi huyo alikuwa anazungumza na walinda amani huko DRC, ameziasa nchi jirani kuiga namna Tanzania inavyolinda amani yake hasa pale wanapowasha mwenge kuaishiria...
  3. dyeanka

    Wakuu wa Wilaya, Mikoa Vs Mawaziri

    Nimemekuwa nashangazwa pale ambako mkuu wa Wilaya au Mkoa kumpigia kampeni mgombea ubunge watu wana lalamika sana kuwa ni viongozi wa Umma na sheria yanmaadili yanviongozi wa umma inakataza. Vipi kuhusiana na Mawaziri wao sheria ya maadili ya viongozi wa Umma haiwahusu? Miongoni mwa watumishi...
  4. dyeanka

    Nimesikitishwa sana na nchi yangu Tanzanian kukosa uwakilishi World Economic Forum (WEF)

    Tanzania ni nchi maskini na serikali ya awamu ya tano wana lengo la kwenda kwenye uchumi wa kati, ni jambo zuri ambapo kila mtanzania anapaswa kuunga mkono juhudi hizi za serikali. Nimesikitishwa sana kwa nchi kukosa uwakilishi kwenye mkutano huu muhimu unafanyika Davos Uswiss, ambapo ni forum...
  5. dyeanka

    Nacte pokeeni simu za wateja tunapata shida sana

    Ni jambo la kushangaza sana kama Nacte wanaweza kutoa namba zao simu kwaajili ya kuwasaidia wateja lakini hataki kupokea simu. Najiuliza nini tafsiri ya kutoa namba hizo?. Inakulazimu unapopata tatizo mpakausafiri kwenda Dar ili tatizo Li solviwe. Inasikitisha sana kwa kweli kwa wanachokifanya...
  6. dyeanka

    Serikali toeni majina ya vyeti vyenye utata ambavyo ni 1538 kuepusha usumbufu

    Naiyomba serikali kupitia ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa umma kutoa list ya majina ya vyeti vyenye utata au vilivyotumika zaidi ya maramoja. Lengo ni kuepukana na usumbufu hapo badae. Ni wazi kwamba majina yatakapo tangazwa watumishi watafahamu hatua za kuchukua kabla ya tarehe ya...
  7. dyeanka

    Magufuli aokoa dili Bomba la Mafuta la Uganda-Tanzania kwa mazungumzo na Museveni akiwa ziarani

    President Yoweri Museveni’s recent state visit to Tanzania was to rescue the crude oil pipeline project after Dar officials pushed to revise the low tariff that lured Uganda to prefer the southern route to the one through Kenya. When President Museveni flew to Dar es Salaam on February 25 on...
  8. dyeanka

    Tuache kuitupia Serikali lawama dhidi ya wanafunzi waliokosa mikopo

    Ndugu wanajamvi salaam. Awali ya yote nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya awamu ya tano kwa juhudi kubwa za kurejesha misingi ya Taifa letu ambayo kwa kweli kwa kiasi kikubwa tulijisahawankidogo. Nirudi katika swalazima zima la mada yetu ya kuilamu serikali kwa kiasikibwa...
  9. dyeanka

    Napongeza kazi nzuri inayofanywa na mh. Heche Mbunge wa Tarime vijijini

    LEO MH HECHE MBUNGE WA TARIME VIJIJINI AMEKABIDHI MIKATABA YA VIKUNDI VYA KINAMAMA NA VIJANA YENYE THAMANI TSH.212,500,000/= Leo mh John Heche amekutana na vikundi 118 vya Kinamama na vijana vya jimbo la Tarime vijijini ambavyo vimekuposhwa Tsh 212,500,000/= Kikao hicho kilichofanyika...
  10. dyeanka

    Bodi ya mikono ya elimu juu (HELB) ya puuza agizola RaisMagufuli

    Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu. Jambo...
  11. dyeanka

    Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamaradi. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha ya shoga almaarufu KAOGE. Mahojiano yaliyokemewa na Makonda haya
  12. dyeanka

    Wakuu wa Wilaya ni vyema wakapitia Ukurugenzi

    Ndugu wana Jf salaam, Kwanza nianze kwa kumpongeza Rais Magufuli kwa kuwateua wakuu wa wilaya ambao kwa kweli kwa sehemu kubwa ni vijana na sio vijana tu pia wasomi. Nimaniyangu kwamba watamuakilisha Rais ipasavyo katika kutekeleza majukumu yao. Pamoja na pongezi hizi kwa mh. Rais lakini...
  13. dyeanka

    Uzinduzi wa call centre ya Jeshi la polisi na changamoto zinazowakabili polisi wetu

    Siku ya leo Rais Dr. John Magufuli atazindua kituo cha call centre kwaajili ya kuleta ufanisi wa Utoaji huduma kwa jeshi la polisi hasa pale panatokea matukio ili jeshi liwezi kupata taarifa na kutoa huduma haraka iwezekanavyo. Jambo muhimu hapa ni kuangalia je serikali wamejaribu kuangalia...
  14. dyeanka

    Bima ya NHIF na mfumo mpya wa Utoaji huduma Muhimbili

    Kama tunavyojua hospital ya Taifa ya Muhimbili wamebadilisha mfumo wa Utoaji huduma hasa katika suala zima la chakula kwa wagonjwa. Katika Utoaji huu wa huduma je serikali imezingatia kwa wananchi wanaotumia huduma ya bima hasa kwa kuzingatia watu wengi wanatumia bima za NHIF kwa wale...
  15. dyeanka

    Daraja la mto Wami kujengwa upya

    Serikali imeahidi kujenga daraja la mto Wami kutokana na daraja hili kupitisha magari kwa mstari mmoja. Swali la mbunge wa Tanga mjini Mussa Mbaruku.
Back
Top Bottom