Bodi ya mikono ya elimu juu (HELB) ya puuza agizola RaisMagufuli

dyeanka

Member
Jun 19, 2016
96
70
Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu.

Jambo lakushangaza ni kwamba bodi wametoa masharti ya wanaotakiwa kukopa kwenyebodi ya mikopo na kuwekakipengele kinachodai mojayawakopaji wasiwe watumishi. je bodi ya mikopo wanapingana na maagizo ya mh.Rais?

Niukweli kwamba nia ya Rais Magufuli nikutaka kuipunguzia serikali gharama ya kusomesha watumishi kwa kuagizabodi iwapatie mikopo watumishi wake. kwani niukweli kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwa Kopesha wafanyakazi wa serikali inakuwa ni rahisi kwa wao kurejesha mikopohiyo kwani rahisi kuwapata kutokana na waokuwa tayari wameajiriwa.

My take bodi angalieni tenakipengele hiki kwani niukweli kwamba kinaleta ubaguzi. Na kama kuna tatizokwa watumishi kukopa muweke bayana.
 
na bado 8 tu sasa watanzania wameanza kupuuza je 4 yrs sijui.

swissme
 
Eligible and needy. Baba zima uzibe nafasi za vijana wetu? Kwenda zako!
Hatujasema watoto wasikopeshwe. Na hao watoto wa leo watakuwa watu wazima na watataka wajiendeleze. Hata rais wetu alijiendeleza akiwa mtu mzima hadi PhD kwa mkopo wa serikali.
 
Hatujasema watoto wasikopeshwe. Na hao watoto wa leo watakuwa watu wazima na watataka wajiendeleze. Hata rais wetu alijiendeleza akiwa mtu mzima hadi PhD kwa mkopo wa serikali.
Hatujasema. Acha vijana wasome.
 
Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu.

Jambo lakushangaza ni kwamba bodi wametoa masharti ya wanaotakiwa kukopa kwenyebodi ya mikopo na kuwekakipengele kinachodai mojayawakopaji wasiwe watumishi. je bodi ya mikopo wanapingana na maagizo ya mh.Rais?

Niukweli kwamba nia ya Rais Magufuli nikutaka kuipunguzia serikali gharama ya kusomesha watumishi kwa kuagizabodi iwapatie mikopo watumishi wake. kwani niukweli kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwa Kopesha wafanyakazi wa serikali inakuwa ni rahisi kwa wao kurejesha mikopohiyo kwani rahisi kuwapata kutokana na waokuwa tayari wameajiriwa.

My take bodi angalieni tenakipengele hiki kwani niukweli kwamba kinaleta ubaguzi. Na kama kuna tatizokwa watumishi kukopa muweke bayana.
Hebu onesha rejea ya kipengele katika mwongozo wa Heslb kinachokataza watumishi wa Serikali kupata mkopo wa kugharamia elimu ya juu.

Inawezekana sijakibaini au nimepitiwa. Weka kumbukumbu sawa tuelewane hapa!
 
Bodi wanatoa mikopo kutokana na kanuni na sheria zilizopo,nani kakuambia kwavle kasema ndio watoe? Kuwa serious kidogo.
 
Magufuli kasema watumishi wakakope bank kwa kutumia mishahara yao bodi ya mikopo ni kwa ajili ya wanafunzi wasiokuwa watumishi.p
Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu.

Jambo lakushangaza ni kwamba bodi wametoa masharti ya wanaotakiwa kukopa kwenyebodi ya mikopo na kuwekakipengele kinachodai mojayawakopaji wasiwe watumishi. je bodi ya mikopo wanapingana na maagizo ya mh.Rais?

Niukweli kwamba nia ya Rais Magufuli nikutaka kuipunguzia serikali gharama ya kusomesha watumishi kwa kuagizabodi iwapatie mikopo watumishi wake. kwani niukweli kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwa Kopesha wafanyakazi wa serikali inakuwa ni rahisi kwa wao kurejesha mikopohiyo kwani rahisi kuwapata kutokana na waokuwa tayari wameajiriwa.

My take bodi angalieni tenakipengele hiki kwani niukweli kwamba kinaleta ubaguzi. Na kama kuna tatizokwa watumishi kukopa muweke bayana.
 
Swala la kujiendeleza mtumishi ni win win situation kati ya mtumishi na mwajiri kwa maana ya kwamba mtumishi anaongeza maarifa na mwajiri anaongezewa tija,hivyo ningependekeza serikali iwakopeshe nao wanapomaliza tu wakatwe kutoka rejesho la mkopo kutoka mishahara yao.
 
Hebu onesha rejea ya kipengele katika mwongozo wa Heslb kinachokataza watumishi wa Serikali kupata mkopo wa kugharamia elimu ya juu.

Inawezekana sijakibaini au nimepitiwa. Weka kumbukumbu sawa tuelewane hapa!
2.2.1
 
Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu.

Jambo lakushangaza ni kwamba bodi wametoa masharti ya wanaotakiwa kukopa kwenyebodi ya mikopo na kuwekakipengele kinachodai mojayawakopaji wasiwe watumishi. je bodi ya mikopo wanapingana na maagizo ya mh.Rais?

Niukweli kwamba nia ya Rais Magufuli nikutaka kuipunguzia serikali gharama ya kusomesha watumishi kwa kuagizabodi iwapatie mikopo watumishi wake. kwani niukweli kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwa Kopesha wafanyakazi wa serikali inakuwa ni rahisi kwa wao kurejesha mikopohiyo kwani rahisi kuwapata kutokana na waokuwa tayari wameajiriwa.

My take bodi angalieni tenakipengele hiki kwani niukweli kwamba kinaleta ubaguzi. Na kama kuna tatizokwa watumishi kukopa muweke bayana.
Mkuu tumia pesa yako kujisomesha kazi unayo,unataka kubanana tu na vitoto?
Wabongo tunapenda sana mteremko
 
Mtakumbuka wakati mh. RaisMagufuli wakati akizindua siku ya mahakama alisema kuwaserikali yake haitasomesha wafanyakazi na badalayake waende bodi ya mikopo kuomba mikopo kwa wale wanaotaka kujiendendeleza iliwapate mikopo kwaajili ya kujikimu wakati wakati wakujiendeleza kielimu.

Jambo lakushangaza ni kwamba bodi wametoa masharti ya wanaotakiwa kukopa kwenyebodi ya mikopo na kuwekakipengele kinachodai mojayawakopaji wasiwe watumishi. je bodi ya mikopo wanapingana na maagizo ya mh.Rais?

Niukweli kwamba nia ya Rais Magufuli nikutaka kuipunguzia serikali gharama ya kusomesha watumishi kwa kuagizabodi iwapatie mikopo watumishi wake. kwani niukweli kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwa Kopesha wafanyakazi wa serikali inakuwa ni rahisi kwa wao kurejesha mikopohiyo kwani rahisi kuwapata kutokana na waokuwa tayari wameajiriwa.

My take bodi angalieni tenakipengele hiki kwani niukweli kwamba kinaleta ubaguzi. Na kama kuna tatizokwa watumishi kukopa muweke bayana.

Maagizo ya Rais yanayopingana na sheria ya nchi ni batili
 
Huyo hajielewi nahisi hana ajira kwa hyo ana wivu na hajui ukiajiriwa unatakiwa upate haki zipi.
 
Baba zima unakosa hela ya kusomeshea mtoto wako mpaka ulilie mkopo? Kwenda zako huko!
Inawezekana wewe haujaajiriwa na hivyo kutojua haki za mwajiriwa kutoka kwa mwajiri. Capacity building kwa mwajiriwa kwa kawaida ni jukumu la mwajiri. Sioni sababu ya kubeza baba au mama zako kwa kebehi ya namna hii. Bila utaratibu huo kuwepo ungekuwa na ma phd holders na proffesors katika vyuo ulivyosomea. ?
 
Back
Top Bottom