Natamani kufanya biashara ya mazao ila sina uelewa nayo naomba MTU mwenye kuijua anipe muongozo natakiwa nianze na mtaji wa kiasi gani soko likoje mfano ndizi ,viazi,vitunguu nk
Mwl wa ICT na Computer (Tehama )anapatikanika kwa Shule za primary na secondary. Kwa mawasilinano PM nikupatie no.yuko tayari kufanya kazi mkoa wowote wa Tanzania.
Mimba na mtoto kudhohofika havina uhusiano wowote mpendwa.kama anaharisha inamaanisha maziwa au uji unaandaliwa katika mazingira yasiyo salama jitahidi usafi wewe kula vizuri ili mtoto apate maziwa ya kutosha nyonyesha mpaka utakapoona umechoka au mimba ikifikisha umri wa week 28-30.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.