Max Malipo wametoa taarifa kwa umma (attached) sasa jibu tumepata kua Simon Group hawana nia nzuri na Mradi huu uliotumia pesa za walipa kodi za nchi hii.
inasikitisha sana kuona watu wetu wasomi na wataalamu wakiangalia mradi huu ukifa kwa kwel inaumiza sana.Mradi huu unaelekea ukingoni kwa sababu zifuatazo:
1.Huduma ni mbovu sana hasa kwa wakatisha ticket na wale watendaji wengine vituoni
2.Upatikanaji wa ticket ni changamoto mnoo
3.Uhaba wa...
vijana wa leo mjiulize na mjifunze,Agnes amefariki je ameacha Legacy gan au jambo gan la mfano na kukumbukwa zaid ya watu ku refer makalio yake makubwa
Michango ya Harusi:
jambo hili linachosha sana mathalan kwa miezi hii baada ya Easter unakuta mtu una card zaidi ya tano (mimi binafsi nnazo saba) ,minimum mchango ni TZS 50,000 na unatakiwa kwenda kwenye wedding utatumia extra cost minimum TZS 40,000
Juventus win & 4.5 goals
Paris FC win
Leipzig under 3.5 goals
Marseille x2 & under 3.5 goals
weka pesa hapo tukutane Serena kesho kwenye show ya Lady Jay Dee Komando
Wakuu habari,
Mimi ni mtumiaji sana wa mabasi haya yaendayo kwa haraka na nimevumilia sana kero zote za mabasi haya lakini tukio lililonikuta siku ya Alhamisi tarehe 25 January 2017 ni la kusikitisha sana sababu nilinyanyasika sana.
Ilivyokua...
Nilitoka kibaruani kwangu nikapanda basi la...
Chama cha Walimu Tanzania kilianzishwa mwaka 1993 kwa lengo la kutetea haki za walimu Tanzania,Mwalimu yoyote by default anakua ni mwanachama wa chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Kila mwezi walimu wote hukatwa kwenye mishara yao michango kwa ajili ya CWT,michango hii imekua na ufisadi wa hali ya...
networking marketing ukielezewa jinsi utakavyopata mamilioni unakua impressed sana.rudi kwenye uhalisiaa ndio utajua kwanini Kenge hana Manyoya,nili fail completely sitarudia tena
shida kubwa ya hapa bongo ni watu kuweka betslip timu 15 huwez kula kamwe ndio maan makampuni ya betting yanafungua kwa wingi maana hapa wanapata profit sana.
weka game 1 - 2 stake big
haya sure bet ya leo
Russia Footbal
Gazovik vs Yenisey GG & 3 weka mzigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.