Aisee hawa vijana wanaosajili line mtaani wanafanya uhalifu ambao kimsingi wanatakiwa kwenda jela.
Leo nimehakiki line nilizosajili kwa kitambulisho cha NIDA, aisee nimeshangaa yani kukuta namba kibao ambazo sijazisajili kumbe kuna uhuni wanakufanyia unaposajili kumbe kuna namba zao...
Ukiona mtu anajisifia chips sijui nyama ujue wengi wao wametokea njaa kali sana basi anaona ni ufahari kula hvo vitu, na wengi wenye misifa ya simu kwenye daladala wengi wao unakuta wameona aidha dem mkali kwenye hyo daladala mana wengi wao huwa ni wanaume,
Kama kichwa kinavyojieleza, leo hii katika kata ya Sakina Arusha tumeona wafanya biashara wadogo wenye mitaji ambayo wengi wao ni kuanzia laki 5 hadi milion 2 wakifungiwa biashara zao na maafisa waliojitambulisha kuwa wanatokea Manispaa ya Arusha
Kuna baadhi walipewa vitambulisho vipya vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.