Search results

  1. M

    Malipo ya NSSF baada ya kumaliza miezi 18

    Wakuu, Nilifanikiwa kulipwa Ile 33.3% ya NSSF, naomba kufahamu Kwa yoyote mwenye kujua, inachukua mda gani na hatua mpaka kupata malipo yaliyobaki baada ya kutimiza miezi 18. Natanguliza shukrani..
  2. M

    Malipo ya fao la kukosa ajira kila mwezi (33.3%)

    Mkuu nashukuru, yaani jamaa wanatia sana stress
  3. M

    Malipo ya fao la kukosa ajira kila mwezi (33.3%)

    Hapo jamaa wakishagundua ulikuwa unafanya kazi za taaluma. Wanakuunganisha moja kwa moja. Unakosa hiyo option
  4. M

    Malipo ya fao la kukosa ajira kila mwezi (33.3%)

    Ndugu wana JF, Nimekuwa naomba kupewa muongozo kuhusiana na hayo malipo ya NSSF. Kwa ufupi baada ya kufatilia kwa muda wa miezi mitatu nilifanikiwa kupewa instalment ile ya kwanza (33.3%) ya basic salary, tarehe 7 mwezi wa kumi. Kinachonitia shaka sioni update yoyote ya invoice ya pili, kwa huu...
  5. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Mkuu kuna kulipwa nusu (50%) ya michango yako endapo umechangia chini ya miezi mitano na ikiwa ulikuwa unafanya kazi za kitaaluma, lakini kuna kulipwa kiasi kilichopo ikiwa michango yako haijakamilika hivyo unaomba ulipwe kiasi hicho waati ukisubiri michango mingine kukamilishwa
  6. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    From Sir With Love, mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako. Asante
  7. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Yaani hii kitu changamoto yake inakuja pale utakapotaka mafao yako.
  8. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Mibas, nashukuru sana, kwa msaada wako. Hakika ntaleta ,rejesho hivi mapema
  9. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Ndugu Mshana, nimejaziwa tu form ya NSSF na mwajiri ambayo ina risiti number tu.
  10. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Mkuu nashukuru kwa ushauri huu. Ntaufanyia kazi
  11. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Daah, hii inakuwa ni changamoto kubwa sana. Hususan kwa mtu ambae yupo mkoa tofauti. Nashukuru mkuu #pwilo. Maana madai hayajalipwa mpaka sasa kutokana na michango kutokamilika
  12. M

    Naomba kufahamishwa namna ya kurekebisha michango yangu NSSF

    Ndugu wanajamiiforum, baada ya kufuatilia michango yangu ya NSSF nimekuta michango ya mwaka mzima haionekani katika statement yangu. Nimefuatilia kwa mwajiri wangu na amenijazia form yenye list za michango hizo. Kwa sasa nipo Mwanza na mwajiri Alikua a anapeleka michango katika ofisi za NSSF...
  13. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Mkuu pwilo nashukuru sana kwa maelezo hayo, risiti namba nimeshatumiwa, ntaelekea ofisi zao ili nilikebishe michango yangu. Asante sana.
  14. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Hapo ukifatilia hakuna cha maana cha kumchelewesha mtu, kinachoshangaza pesa ni zako mwenyewe
  15. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Michango yangu inasoma last date kwenye Statement as January 2020, ofisini wameniambia kupeleka michango yote hadi ya Jan 2021. Hapo ndo napata tafarani kuelewa
  16. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Michango yangu inasoma last date kwenye Statement as January 2020, ofisini wameniambia kupeleka michango yote hadi ya Jan 2021. Hapo ndo napata tafarani kuelewa
  17. M

    Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

    Mkuu ngoja niangalie sasa mkuu Pwilo je kama hata kama mchango mmoja usipoonekana unaweza kulipwa hivyo hivyo. Maana statement Yao nashindwa kuielewa
Back
Top Bottom