mkaa mweusi
Member
- Jan 14, 2011
- 69
- 26
Ndugu wana JF,
Nimekuwa naomba kupewa muongozo kuhusiana na hayo malipo ya NSSF. Kwa ufupi baada ya kufatilia kwa muda wa miezi mitatu nilifanikiwa kupewa instalment ile ya kwanza (33.3%) ya basic salary, tarehe 7 mwezi wa kumi.
Kinachonitia shaka sioni update yoyote ya invoice ya pili, kwa huu mwezi wa 11. Kwa yoyote aliyewahi kulipwa kwa hii scheme anisaidie mwongozo.
Nimekuwa naomba kupewa muongozo kuhusiana na hayo malipo ya NSSF. Kwa ufupi baada ya kufatilia kwa muda wa miezi mitatu nilifanikiwa kupewa instalment ile ya kwanza (33.3%) ya basic salary, tarehe 7 mwezi wa kumi.
Kinachonitia shaka sioni update yoyote ya invoice ya pili, kwa huu mwezi wa 11. Kwa yoyote aliyewahi kulipwa kwa hii scheme anisaidie mwongozo.