Search results

  1. guzman_

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Ina nikumbusha mzee mmoja mwanga alikatwa mapanga ya kutosha ila hakufa mpaka aliposalimu amri na kuwaambia wakakate mti uliokatikati ya shamba lake. Ila ilikuwa muda kidogo
  2. guzman_

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    Ukiwa mkristo namaanisha mkristo kweli ukachangamana na wasio wakristo (mfano Timu ya mpira) then wakataka kuleta ndumba huwa hazifanyi kazi. Kuna mtu alitolewa kwenye timu unless asilimu ndo apewe namba. Jamaa aligoma alivunja mkataba na leo ni mkulima wa mpunga.
  3. guzman_

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Kuna soko la mahindi au wakulima?
  4. guzman_

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Mbeya kuna masoko yanauza kwa jumla au lazima uende kwa jamaa wenye mashine za kukoboa mpunga.
  5. guzman_

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Mimi nataka soko mkuu. Hata kesho mzigo ukiisha naweza pata kiurahisi.
  6. guzman_

    Natafuta masoko ya Nafaka mikoani

    Wakuu habari. Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo...
  7. guzman_

    Mgombea uspika kupitia TLP, Simon Maganza umeonesha ukomavu

    CCM tumemwona tutamchukua.
  8. guzman_

    NECTA yatoa ufafanuzi kuhusu mjadala wa ufaulu kati ya shule ya Wasichana ya Anwarite na ya Wavulana ya Feza

    Simple Statistics. Kama shule 2 A, B zina wanafunzi wa 2 kila moja mfano. Shule ya kwanza matokeo div 1 za 9. Hii ina wastani wa 9. Shule ya pili. Div 1 moja ya 7 na div 2 ya 10. Hii ina wastani wa 8.5. Kwa hio shule B inaongeza kuliko shule A.
  9. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    Sawa mkuu. Wewe nitumie nikae nazo na kazi zao kabisa.
  10. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    So unataka unipe na ww. Tulishamaliza kazi mkuu. Ishu sio portfolio ishu ni ujuzi
  11. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    Ni sawa kuniita mpuuzi. Ila IT limetumika kama general. Target ilikuwa programmers. Sio kila Cs anaweza programming. Ni field pia. Ila shida ni pale unajiita programmer then hujui hata simple solution.
  12. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    Hao vijana CV zao ni kuwa digrii wamesomea bongo. Wanahusika vile vile.
  13. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    Wa kutengeneza kompyuta zilizoharibika na sio software /programs developer.
  14. guzman_

    Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

    Ndivo mnafanya. Unalipwa mil 30 unaenda kuedit template huko unajifanya guru wa coding[emoji23][emoji23].
  15. guzman_

    Wataalamu wa IT wa Tanzania ni 'zero' kabisa

    UDSM/UDOM/DIT developer? Una utani wewe. Hao wote wanalalamikiwa si wa huko huko? Yaani tha max sasa ivi naweza lipa kwa IT wa TZ ni 200,000 tu ya bando ya kugoogle na soda.
  16. guzman_

    Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

    Ukipita comments by comments utaelewa punches zao hazina maana. Hawana ujuzi, negative kabisa.
  17. guzman_

    Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

    [emoji23][emoji23]IT wa TZ ni mandezi kweli. Hii field inatakiwa uwe consistent na uwe una improve product daily. Walishindwa hata kuja na wazo la kutumia barcode unascan unatembea. Naanza kuamini kuwa ni wa hindi hawa waliunda hio
  18. guzman_

    Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

    Mkuu siombi radhi kabisa. Waende wakasome. Waache ujanja ujanja.
Back
Top Bottom