Hello wakuu, hope mko poa.
Nimebahatika kununua gari ndogo naitumia vizuri tu bila shida.
Leo asubuhi nipo kwenye foleni ya jiji, nataka kusogea tyre za nyuma zikagoma kuzunguka (parking break sikuwa nimeweka so tusiende huko) ila baada ya muda mfupi nikajaribu tena kuondoka ikakubali bila...
Ni vigezo gan hutumika kuwapanga wanafunzi wa kidato cha tano kwenye shule za vipaji kama Ilboru, Mzumbe, Kibaha etc. Kwa yeyote anayefaham tafadhal naomba unifahamishe.
Natanguliza shukran.
Napata shida kidogo kwa hawa watu waliozaliwa FEBRUARY 29. Je, wanasherehekea vipi siku zao za kuzaliwa ndani ya miaka ambayo february 28 ndiyo mwisho wa mwezi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.