kwa jina naitwa juliano norman(24),ni mkazi wa mtwara,mimi ni wa kwanza katika familia ya watoto watatu,kwa ujumla mimi na ndugu zangu ni yatima wa kufiwa na wazazi wote,kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne nilichohitimu katika shule ya sekondari mtangalanga iliyopo km 3 kutoka newala...
kwa jina naitwa juliano norman(24),ni mkazi wa mtwara,mimi ni wa kwanza ndani ya familia yetu na kufuatiwa na ndugu zangu wawili,mwaka 2005 tulifiwa na mama yetu na kuachwa na baba tu,maisha yalikuwa magumu zaidi kwani jamaa wa upande wa mama walitutenga,wakati mama katutoka mwaka 2007...
Kwa jina natambulika kwa jina la Juliano Norman,ni mkazi wa Newala katika kijiji cha Nambunga ni yatima niloachwa na ndugu zangu wakati nataka kusoma kidato cha tano lakini uyatima na ukata wa kipato ndio ulonifanya nishndwe kuendelea na masomo.
Kwa yeyote atakayekuwa tayari kunifadhili...
Mimi ni kijana mwenye miaka 24 nimehtmu kidato cha4 na nikafaulu ila kutokona na kufiwa na wazazi wangu wote ikanibidi nishindwe kuendelea na masomo hvo nipo hadharani kuomba kazi mie ni mchapakazi na najituma na sichagui kazi isipokuwa kazi haramu tu me nipo tayari mwenye kazi tuwasiliane...
mie ni kijana ambae mwenye umri wa miaka 24 na nilibahatika kurudia mtihani wa kidato cha nne na kupata c,c,b,d,d wakati nawaza kuendelea na elimu ya kidato cha 5 baba angu mzazi alifariki na kuniacha mimi na ndugu zangu wawili,baada ya kutokwa na baba nkawaza niombe chuo cha ualimu hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.