MANAGING DIRECTOR (MD)
GENERAL MANAGER. (GM)
DIRECTOR GENERAL (DG)
Mwenye kufahamu tofauti ya nafasi moja na nyingine anijuze na majukumu ya kila nafasi hizo Asanteni
Naomba kutoa Rai kwa Mamlaka Hizi mbili na kwa Naibu waziri Anayesimamia Mazingira MH.Luhaga Mpina kulipa faini ya sh.Ml20 kutokana na kuchafua mazingira kwa namna ambavyo wanateketeza Vyakula na Vipodozi vyenye viambata vya sumu.
Wote tumekua mashahidi namna ambavyo uteketezaji unafanyika kwa...
Mungu amembariki sana Hutu nabii no Tajiri wakutupwa .Anamiliki Chopa magari ya kifahari achilia mbali mahekalu pale Arusha .Wamadhabahuni wanakula Madhabahuni
Jipu:
Kilombero sugar na Unitransi Kilombero wanauza mafuta ya Diesel na Petrol yenye msamaha wa kodi kwa kampuni sisizo na sifa ya kupata msamaha huo ya Kk Security, MML & Buffet
TB Joshua, muhubiri maarufu barani Afrika na raia wa Nigeria, ametajwa kwenye nyaraka za kashfa ya ukwepaji kodi za Panama, akidaiwa kuwa na hisa kwenye kampuni iliyosajiliwa visiwa vya British Virgin Islands.
Mwanzilishi huyo wa Kanisa la Sinagogi la Mataifa Yote (Synagogue Church of All...
Gwajima Yuko sahihi hasa ukizingatia kuwa kuna maeneo vimetolewa vibali vya kujenga makanisa makazi ya watu na Viwanda so Lila kitu kinafanywa kwa utaratibu wake .Ninapoish Mimi in karibu name eneo la viwanda lakini no eneo LA makazi kunakelele nyingi lakini tunavumilia hatuwezi kusema kiwanda...
Niliota yakwamba hakuna mamlaka inayowezakusimama peke yake bila uwezo Wa nguvu unaoisimamisha nguvu zaweza Kuwa za Kimungu au Kishetani .Mwenge in tambiko la nchi Rais anamamlaka take lakini hana mamlaka juu ya nguvu iliyoisimamisha nchi .
Leo katika kipindi cha Jahazi Clouds FM nimesikia tangazo la Airtel na Vodacom yakitangazwa katika kipindi hicho je inawezekana kwa washindani wamoja katika biashara kudhamini kipindi kimoja cha redio? katika sheria ya ushindani wa biashara imekaaje hii?
Kuna shule moja IPO changanyikeni Dar huwa sifa ya kujiunga pale ni Div O tu kuna ndugu yangu alienda pale na Div O yake lakini alitoka name Div two na sasa Yuko Six .wanaslogan yao wanasema from zero to hero yaani sifa ya kujiunga na shule ile uwe na div O wanajua sana wale watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.