Heshima mbele wakuu,
Nipende kutoa mrejesho, wiki iliyopita nilifanikiwa kufika katika ofisi za Jamii MEDIA kwa lengo la kwenda kuchukua simu.Nilifanikiwa kuonana na wahusika na simu nilipewa.Asante sana mkuu Maxence melo na viongozi wenzako,
Mzigo huo hapo, samahanini sana JF kwa kuchelewa...
wadau oneni uwezo wa huyu kijana,kuna haja ya mitaala ya elimu africa kupitiwa upya ili watoto wanaonesha uwezo kama huyu kupewa mafunzo maalum ili waje kuzisaidia nchi zao baadae...
Anaitwa Kassim
Manara...fundi wa mpira aliyecheza Borussia Dortumund miaka ya
1970...Olympiakos wakamtaka wakashindwana naye maslahi. source Edo kumwembe facebook page
Wakuu,
Naomba mnisaidie kama kuna yeyote anajua jinsi ya kusafisha hizi timberland boot,kama kuna dawa maalumu au sabuni,maana zinaanza kutofautiana rangi na vidoa doa ambavyo havifutiki.
MAHAKAMA ya haki za binadamu barani Afrika leo imeahirisha kesi ya mwanasiasa mwanamama kutoka nchini Rwanda Victoire Ingabire baada ya serikali ya Rwanda kuwasilisha barua mbele ya mahakama hiyo ikitaka ushirikiano kati ya Rwanda na mahakama hiyo iliyoasisiwa na umoja wa Afrika usitishwe...
kuna kifurushi cha 200 cha voda kuna baadhi ya line kinakubali wengine kinakataa'yaaani 200 unapata mb 100 sms 1000 na dakika 100 kwa siku saba,just dial *149*68# uone maajabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.