Tupo dar kimara eneo la maduka matatu.
Tunauza mchele supa kutoka ifakara morogoro bei yetu ni nzuri 1900 kwa kilo
Ukichukua kuanzia kilo 100 tunakuletea mahali ulipo kwa maeneo yote ya dar
Unaweza kuwasiliana nasi kwa namba zifuatazo
+255-769-825-138
+255-719-076-235
+255-786-532-100...
Leo ningependa kutoa pongezi za dhati kwa mkuu wa mkoa wa geita engineer Gabriel kwa mambo anayoyafanya
Ukiangalia mkoa wa geita ni kama kitovu cha biashara ya madini ya dhahabu hapa Tanzania zaidi ya 75% inatoka hapa mbali na migodi mikubwa ya ggm bali kuna migodi midogo mingi sana. Kwa hivi...
Napenda kuwasalimu nyote katika jukwaa hili la mambo muhimu!
Ningependa kujua kama kuna mtu anayejua bank ambayo inaweza kutoa mkopo kwa dhamana ya shamba la miti au kiwanja na conditions ambazo zinahitajika kuweza kupata huo mkopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.