Mke wangu tunaishi naye nyumbani lakini bado sijafunga naye ndoa. Nimekaaa naye yapata miaka 6 sasa. Niko naishi pia na baba yangu nyumba moja. Mke wangu analalamika kwanini baba yangu anamuita "wewe" badala ya jina lake.
Je, ni sahihi baba yangu kumuita mke wangu "Wewe"?
Naombeni mawazo yenu...
Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza.
Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena...
Nipeni mawazo na msaada wenu,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba.
Tatizo ni nini wanajamii
Umri wa kuoa ni miaka mingapโฆ.... Maana mi hapa nyumban kila siku nakumbushwa
Alaf sijui kutongoza yule ninayemtaka namwacha apite coz nahisi nikimwita kumtongozaโฆโฆ atanishushua na kunikataa
NINA MIAKA 31
MSAAADA PLZ
Hyo picha
Nikama hao ndo nawataka kuoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.