ktroshaban
Member
- Nov 6, 2015
- 42
- 92
Nipeni mawazo na msaada wenu,
Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba.
Tatizo ni nini wanajamii
Nimetembea na wanawake zaidi ya 8 bila kinga, lengo ni kutafuta mtoto lakini cha ajabu hakuna hata mmoja niliyempa mimba.
Tatizo ni nini wanajamii