Search results

  1. mkubhi

    Je, Serikali ina uwezo wa kuwalinda Wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA waliofukuzwa Uanachama?

    Kwani wametumia katiba mupya kuwatimua au katiba iliyopo?
  2. mkubhi

    Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

    Wewe unaweza kuitwa na polisi mtandaoni ukaenda.... Nyie ccm mumeishiwa kabisa hamna mbele wala nyuma
  3. mkubhi

    Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

    Sema kosa lake akanyee ndoo , sema jiwr ameshikwa pabaya anaanza kutumia kila linalowezekana kumdhibiti kisiki lisu .....
  4. mkubhi

    Naipongeza Serikali kuzuia fedha toka nje kuingia ndani ya nchi kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu. Lengo la fedha hizo ni uovu tu, si vinginevyo

    Nyie mbona mnchkua za mifuko ya jamii hamna luzuku? Mbona pia mmechangisha wafanya biashara ,hamna ruzuku?
  5. mkubhi

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara

    Mchague mwenyewe mm namchagua lisu, na mapenzi yakulazimishana kumpenda magufuli ifikie hatua mkome
  6. mkubhi

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Imekaa vzr hii
  7. mkubhi

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Nahitaji ufafanuzi mpana kwa jinsi magu anavyolibeba hili janga na akiendelea kutuhamasisha tuondoe hofu na tujifunze namna ya kuishi na ugonjwa wa huu corona! Swali: Kuna jinsi watu wanaweza kujifunza jinsi ya kuishi na ugonjwa wa mripuko zaidi ya kuudhibiti ukaisha?? Sent using Jamii Forums...
  8. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Hata mkikaa kimya kigogo anaifanya kaz yake vzr Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Acha upumbafu nifurahie kwa lipi... Hoja zenu n zakiwenda wazim... Tupeni taarifa sahihi hata kama n mmoja au hakuna kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Tunajilinda ila serikali n wajibu wake kutupa taarifa sahihi na kwa wakati! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    I you don't quote any any one I will not qoute by any how and some how! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Mbona ndege zilizonunuliwa tuliambiwa idadi yake?? Inshindikanaje kwenye coron na tutaipamaje serikali utendaji wake kama haitoi taarifa sahihi? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mkubhi

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Wambie waondoe sheria ya haki ya HABARI halafu ndo uje uulize ujinga wako hapa jukwan Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom