Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125


IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.

Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".

"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."

"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
Lisu ni mshindi maana mti wenye matunda ndio upigwa mawe
 
Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125


IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, amri hiyo inatokana na IGP kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema kutokana na matendo mbalimbali ambayo wanayofanya.

Akifafanua suala hili IGP Sirro amesema "Nimeona matukio kadhaa yakifanyika na Viongozi wa Chadema, wamekuwa wakikaripia na kuwagombeza Askari Polisi. Nimeona mara kadhaa Tundu Lissu anagombana na Viongozi wa Polisi".

"Jana nimeongea na Kiongozi wake Bwana Mbowe akae na viongozi wake wazungumze suala la kutii sheria bila shuruti. Anayoyafanya Watanzania wenye hekima na Wazalendo wanaona. Lissu hayuko juu ya sheria polisi tukiamua kutimiza wajibu wetu asilalamike na chama chake. Vyama vipo karibu kumi na mbili, Jeshi la Polisi limepewa wajibu wa kulinda watu na mali zao ndani ya nchi hii, yeye hana uwezo wowote wa kupambana na Jeshi la Polisi."

"Asije akafika mahali akawa na kiburi akadhani ana uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi. Niwasihi sana na niwaombe sana ndugu zetu wa Chama cha Chadema hii tabia iishe. Tundu Lissu aende akaripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aende akaeleze aliyoyafanya jana. Lakini niwaombe wanasiasa na Viongozi wote katika ngazi zote. Suala la Udiwani, Ubunge, Urais bila amani na utulivu huwezi kufanya siasa na huna uwezo wa kupambana na Jeshi la Polisi wewe kama wewe. Kwahiyo tuheshimu sheria zilizopo ili tuchague viongozi tunaowataka lakini inaonekana kuna ajenda ya siri ambayo viongozi wachache wanayoitaka ili uchaguzi usifanyike. Nawaambia uchaguzi utafanyika lakini itafika mahala tutawashughulikia sana."
Nafikiri Lissu ashasema hayuko yeye kama yeye. Yuko yeye na Wanachama wake, Bob Amsterdam, UN, AU vitengo vya haki za binadamu, vyombo vya habari vya kimataifa, Umoja wa Ulaya n.k

Angekuwa yeye kama yeye wala Sirro asingefanya press angekuwa kashamalizana nae huko huko. Nasubiria maneno ya utangulizi ya Lissu. Nafikiri ataripoti kituo cha polisi cha mahali alipo kwasasa hawezi kurudi Moshi.

Badala ya kuongea na Mbowe tu nafikiri kiitishwe kikao cha viongozi wa siasa, dini, polisi, tume na Serikali watu wakubaliane kuhusu HAKI itakavyotendeka na ionekane imetendeka kabla ya siku ya kura otherwise kuna hatari mbele maana uchaguzi huu wapinzani ni Sauli na Daud. Saul kajaribu kumaliza gemu nje ya uwanja toka 2017 imeshindikana.

Tunamsubiria Mungu mwenye HAKI na mwamuzi wa HAKI ambaye kisasi ni juu yake tuone analipaje kisasi uchaguzi huu.
 
Huku NEC, Huku Msajili, Huku Polis Huku CCM ..Wote mishale yao inaelekea kwa Lissu ...
Yote haya nikujaribu kumtafutia faraja Bw Yule Bingwa wa Ubaguzi. Hali yake ni mbaya hawezi tena kunadi miradi yake kazi kubwa hivi sasa ni kuwafokea na kuwatisha Wapiga Kura.

Tamko la Siro siyo la ajabu kwani Mteuzi wa Vyombo Vya Usalama toka mwanzo anajulikana kuwa kawapa Kazi Maalum Wateule wake. Kazi kubwa waliopewa na Mamlaka za Teuzi ni kuwanyanyasa kuwatesa Wapinzani.
 
Nafikiri Lissu ashasema hayuko yeye kama yeye. Yuko yeye na Wanachama wake, Bob Amsterdam, UN, AU vitengo vya haki za binadamu, vyombo vya habari vya kimataifa, Umoja wa Ulaya n.k

Angekuwa yeye kama yeye wala Sirro asingefanya press angekuwa kashamalizana nae huko huko. Nasubiria maneno ya utangulizi ya Lissu. Nafikiri ataripoti kituo cha polisi cha mahali alipo kwasasa hawezi kurudi Moshi.

Badala ya kuongea na Mbowe tu nafikiri kiitishwe kikao cha viongozi wa siasa, dini, polisi, tume na Serikali watu wakubaliane kuhusu HAKI itakavyotendeka na ionekane imetendeka kabla ya siku ya kura otherwise kuna hatari mbele maana uchaguzi huu wapinzani ni Sauli na Daud. Saul kajaribu kumaliza gemu nje ya uwanja toka 2017 imeshindikana.

Tunamsubiria Mungu mwenye HAKI na mwamuzi wa HAKI ambaye kisasi ni juu yake tuone analipaje kisasi uchaguzi huu.

..asante sana.

..ungekua hapa baa nilipo ningekupa offer ya nusu kuku, chipsi, na chupa mbili za heineken.
 
Nafikiri Lissu ashasema hayuko yeye kama yeye. Yuko yeye na Wanachama wake, Bob Amsterdam, UN, AU vitengo vya haki za binadamu, vyombo vya habari vya kimataifa, Umoja wa Ulaya n.k

Angekuwa yeye kama yeye wala Sirro asingefanya press angekuwa kashamalizana nae huko huko. Nasubiria maneno ya utangulizi ya Lissu. Nafikiri ataripoti kituo cha polisi cha mahali alipo kwasasa hawezi kurudi Moshi.

Badala ya kuongea na Mbowe tu nafikiri kiitishwe kikao cha viongozi wa siasa, dini, polisi, tume na Serikali watu wakubaliane kuhusu HAKI itakavyotendeka na ionekane imetendeka kabla ya siku ya kura otherwise kuna hatari mbele maana uchaguzi huu wapinzani ni Sauli na Daud. Saul kajaribu kumaliza gemu nje ya uwanja toka 2017 imeshindikana.

Tunamsubiria Mungu mwenye HAKI na mwamuzi wa HAKI ambaye kisasi ni juu yake tuone analipaje kisasi uchaguzi huu.
Ben, kama unabadilisha gia hewani hivi! Show your really colors sasa, siyo kung’ata na kupuliza!
 
Huyo kibaraka wa mabeberu aende haraka sana akaripoti polisi, huku NEC inamsubiri, ngoja tuone huyu kibaraka ataishia wapi. Na Watanzania hawana simile ile 28.10.2020 lazima wamkate vibaya mno.
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Sema kosa lake akanyee ndoo , sema jiwr ameshikwa pabaya anaanza kutumia kila linalowezekana kumdhibiti kisiki lisu .....
 
Lissu kawashika pabaya baada Magu kutepeta kwa Mwamba wakaja NECCM nao wakakuta mziki wa LISSU cd 700 Sasa wamefanya sub mwingine ambaye ni Sirro wakati Sirro anaingia huku Diwani kaambiwa awe anapasha
Nyie mjazeni tu upepo, akianza kushughulikiwa msilalamike. Jeshi la polisi limekua na uvumilivu sana kipindi hiki, limefumbia macho mambo mengi sana ya uvunjifu wa sheria wa makusudi kabisa. Lissu amefikia hatua mpaka anawagombeza polisi wanamuangalia tu. Siku akitandikwa makofi msilalamike kadhalilishwa. Kuwa mgombea u Rais haimaanishi kutotii mamlaka, sheria na vyombo vya dola.
 
Ndiyo mlichobaki nacho. Yaani hamjiamini kabisa yaani kila mara ICC.

Hivi Kati ya CCM na CHADEMA Nani asiyejiamini?
Huyu ambaye anataka ashinde kwa Goal la mkono kwa kutumia NEC,MSAJILI na POLICCM au huyu anayesema akinyang'anywa ushindi kwa Goal la mkono atawashtaki ICC??
 
Back
Top Bottom