Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji, Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuzuia Watanzania tusitishane kuhusu haka ka ugonjwa Kalona, ni ka ugonjwa kadogo, ila inapofikia hali ya kutisha kwa watu kufa, kwa Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, sio kaugonjwa ni janga, na sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kwa rate ya kutisha!.

Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa Hali ya Hatari kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku upande wa bara tuu pekee yake!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vimeripotiwa kwenye media tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, haiwezekani hadi leo Jumatano m, idadi ni ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita!

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukalia habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli hata kama unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlala ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za kuzuia habari fulani isitoke,
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za vifo. vya Corona vina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu wanaokufa daily kwa Corona, tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila eny update.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna Hali ya Hatari ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
we jamaa nawe hueleweki siku hizi umekua POPO sana
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji, Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuzuia Watanzania tusitishane kuhusu haka ka ugonjwa Kalona, ni ka ugonjwa kadogo, ila inapofikia hali ya kutisha kwa watu kufa, kwa Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, sio kaugonjwa ni janga, na sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kwa rate ya kutisha!.

Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa Hali ya Hatari kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku upande wa bara tuu pekee yake!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vimeripotiwa kwenye media tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, haiwezekani hadi leo Jumatano m, idadi ni ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita!

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukalia habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli hata kama unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlala ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za kuzuia habari fulani isitoke,
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za vifo. vya Corona vina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu wanaokufa daily kwa Corona, tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila eny update.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna Hali ya Hatari ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Wamekutuma kwanza upime hali ya upepo ndipo watangaze siyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hili ngoma hutaliweza, kaa home tulia na familia kama huna misele ya maana, weka akiba kidogo unachopata sabau hujui kesho yako na hili goma si la kuisha leo wala kesho... uwe watazamaji kama sisi - hili ngoma ni zito mno

Ngoma likichanganya sana sana ndipo tutapoheshimiana !
 
Kwani nyie mnataka habari za Covid ili iweje?.Mmeshapata ushauri jinsi ya kujikinga na maambukizi, kutoka kwa serikali na sehemu zingine.Bado mnataka nini na ili iweje!.Hofu ni ugonjwa hatari kuliko Corona.Chapeni kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi hawa watu, kwa kutokutoa updates, nilishawadharau siku nyingi. Rais alishasema wakati fulani kuwa Watanzania sio wajinga. Mimi siku hizi najumlisha 1+1 napata 2. Wakisema fulani amekufa kwa kutokana na kushindwa kupumua najua ugonjwa uliomuua. Basi!
 
Maguful is simply a Coward,nashangaa CCM,vyimbo vya usalama wanashindwa kuliona hilo kumtoa kumueka mtu mwenye sense pale sbb uwezo wanao na watu wenye sifa wanao.
CCM hii dhambi itawatafuna milele, hatuwezi kuongozwa na zoba kama hili halafu wanakalia kupiga makofi tu! Jeshi nalo sijui linasubiri nini? Ingawa huko jeshini kamweka Msuku ili amlinde!
 
Kamali alocheza mkuu wa kaya naona anaenda kuliwa.
Binafsi nilichagua kutafutia riziki porini, ila magari toka miji mikubwa yanayoingia huku uwa yamejaza sana. Hii inaonyesha watu ambao hawakuwa waajiriwa wa kudumu sasa wanarudi makwao, siamini kama wote wanaoingia kua hawana maambukizi ya kakorona. Na sirikali kwa kua haitoi habari juu ya maambukizi mapya na vifo kiukweli u Kanda huu nilipo uzingatiaji wa tahadhari ni kama hamna, kwan wengi wanaishi kama awali, minada, pooltable, vibanda vya video, soko, bar, draft, mabao na mikusanyiko kwenye misiba ni kawaida.
Sasa sijui uelekeo wetu juu ya janga hili. Siku 20 zijazo uenda takwimu zikaanza kutolewa kiwi lay sijui. Ngoja tuone
 
Kuna muda huwa nawaza kuhusu utimamu wa huyu kiongozi wetu wa nchi alafu nakoswa majibu kwa kweli.
1- Siku zote amekuwa akisisitiza kwamba msema kweli ni mpenzi wa Mungu na amekuwa msitari wa mbele kweli kusisitiza hili jambo lakini baada ya tamko la kuwa msema kweli matokeo yake kauli zake zote zimekuwa kinyume na huo ukweli anaousisitiza na inakuwa ni uongo wakati sisi ukweli tunaujua na tukiusimamia kama anavyosisitiza tunaonekana tena tunazusha taarifa za uongo!

2-Naanza kupata wasiwasi kuwa kumbe hata kile kipindi anatuomba kama taifa kuingia kwenye maombi ya siku 3 yamkini alikuwa ana ajenda yake ya siri ambapo matokeo yake tunaanza kuyaona sa hizi- inamaana kutuambia tumuombe Mungu na baada ya maombi kukoma tumeshuhudia uhaba wa taarifa kuhusu maambukizi na vifo! Sasa huu ukimya Ndio anataka tuuchukulie kwamba Mungu kajibu maombi yetu Ndio maana hakuna vifo wala maambukizi tena??( au ilikuwa namna ya yeye kujizolea utukufu wa Mungu)

3-Alafu mbona kama vile amefanyia kazi ushauri wa mwigulu nchemba uliopingwa na wabunge karibia wote kuhusu kutotangaza taarifa za maambukizi na badala yake watangaze waliopona tu!! Maana baada ya kauli hii ndio naona yalipangwa maombi- nafikiri ili kuhalalisha ile hoja ya mwigulu.

4-Kwa hali ilivyo sasa napata mashaka makubwa sana kama huyu magufuli anafit katika uongozi wa watu!! Nafikiri zaidi huyu ana fit kuwa hata Enginer mkuu wa serikali(kama hiki cheo kipo) lakini kwenye uongozi wa binadamu huyu jamaa hafit kabisa..kuna mifano mingi sana ambayo ameshatuonyesha kuwa hii nsfasi inampwaya lakini ndio hivyo tumeshaingia mkenge.

Mungu atusaidie tu tuweze kuvuka katika hili janga salama.
Laiti kama ujinga ungekuwa unaondoka kwa maombi, ningeshauri zitangazwe siku tatu za maombi ili kuombea ujinga. Lakini sasa kwa bahati mbaya sana dawa ya ujinga si maombi. Kinachonisikitisha si tu kwamba sisi ni wajinga, bali zaidi sana ni vile ambavyo watu wamechukua ujinga wetu na kuufanya kuwa mtaji wao kisiasa, kidini na kiuchumi.

Najaribu kukumbuka enzi za babu wa Loliondo jinsi taifa zima lilivyohamia Loliondo ama kimwili, ama kiakili ama kiroho. Watu wakapanga foleni mpaka wengine wakafia kwenye foleni. Hilo lazima liwe ni taifa lililogubikwa na ujinga.

Baada ya hapo kuna mikasa mingi ya namna tunavyoyumbishwa kwenye siasa na dini – mara mafuta ya upako, mara maji ya baraka kufuta mikosi n.k

Sasa limekuja na hili la covid-19, sitaki kusema sana lakni UJINGA UTATUGHARIMU
 
Ati na wewe mwandishi unashangaa kama mimi mpita njia ninavyoshangaa maajabu haya yallaa twafa
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Umetisha update tayari
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Sijaona hata cha maana ulichoandika kwa nini huombi Serikali itangaziwe maambukizi ya Malaria, HIV, Tengue, TB nk kwa siku? Kuna siku utataka utangaziwe hata ........ ngoja niishie hapa kwa leo!
 
Back
Top Bottom