wadau mwenye cv ya watoto wa massaburi,deograius massaburi na john massaburi aimwage hapa maana hawa watoto eti wanafundisha kwenye chuo chake kiitwacho instistute of procurement and supply-chanika ngazi ya certificate na diploma .
Jamaani mnafiki ole aliwahi kusema jk kamanda wa kupambana vita ya ufisadi sasa hosea amenukuliwa na wikileaks anasema jk ndo kikwazo.hii imekaaje kwa olesendeka binafsi namshauri asijiite tena mpambanaji wa ufisad ni mnafiki mkubwa
Hivi wadau tume ya uchaguzi imewabeba ccm hilo lipo wazi inakuwaje tena huyu mbege kwenda mahakamani ina maana nao hawana imani na tume?nahakika ameshauriwa viongozi kabla ya kwenda kupinga matokeo me nadhani nae atangaze hadharani hatambui matokeo yaliyompa ushindi kikwete maana nae hana imani...
Kuzuiwa kwa mikutano ya chadema majimboni kwasababu za kiusalama inamaana polisi wangezidiwa nguvu na waarifu au hawakutaka kulinda mikutano ya chadema.kama kuna ukweli rais atangaze hali ya hatari mwanza,mbeya,musoma,dar(segerea),rukwa,iringa,babati na mpanda
Eti 6 kapewa uwaziri wa eac ili adili na mambo ya nje zaidi akigusa tu ya ndani wamwambie shughulikia ya eac sasa kwa kuwaumbua hao awalipe wazee wastaafu wa eac tuone watamweka wapi udiwani au ukuu wa mkoa
Eti wadau kurejeshwa kwa Magufuri miundo mbinu ina maana jk mwanzo alichemka kumpeleka mifugo na makazi au alipanga kumuua kisiasa na sasa ameshindwa ameamua kumrejesha pale palipo mpa jina kisias
ubaguzi huu ni yale maeneo chadema iliyoshinda au yale ccm iliyoshinda au zanzibar ambapo chadema wamepata kura ndogo?WASWAHILI WANASEMA UKICHEZEA MPIRA UKUTANI UTAKURUDIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.