huo ni mtazamo wako jibuni hoja iliyopo kwa mfano baba yako anamiliki shule na wewe kama mtoto uende kufundisha na wakati huna sifa watu wakiomba cv yako ni majungu? au ndo nafasi nzuri kwako ya kudhihilisha uwezo wako kwa unachokifanyaHii JF wakati mwengine ni kama Majungu Forum!!
Nilikuwa napita tu Wakuu!
sasa kama wanafundisha unataka nini?yaani ni sawa na kutaka CV ya mtu wakati anauza duka la babake
ningeomba cv ya ridhiwan kikwete,slaa ,lipumba,nape,mkama ungenijibu nikawaulize?punguza jazba kuomba cv si kumkejeli mtunenda chuoni waambie wakupe cv zao. Kwani wameajiriwa JF?
Duka la baba yake? Wana sifa ya kufundisha katika chuo kama hicho au kwa sababu ni cha baba yake? Mgongani wa kimaslahi lazima utakuwepo, kwa sababu hata kama hawana sifa kuna uwezekano wa kupewa nafasi ya kufundisha bila kuwa na sifa. Afadhali wangefanya kazi nyingine kama ya ulinzi na upishi hapo chuoni, kazi ambazo zisingesababisha athari ya moja kwa moja kwa wanachuo.
ujumbe una uhusiano na siasa,kwa vile unamgusa mwanasiasa moja kwa moja na nadhani siasa ndo kama ngao yake kuendesha cha massaburi na bendera ya chama cha magamba inapepea pale sasa kwanini siasa isiingie?Sasa ujumbe wako una uhusiano gani na siasa.Au unataka CV za siasa ?