Eti 6 kapewa uwaziri wa eac ili adili na mambo ya nje zaidi akigusa tu ya ndani wamwambie shughulikia ya eac sasa kwa kuwaumbua hao awalipe wazee wastaafu wa eac tuone watamweka wapi udiwani au ukuu wa mkoa
Sidhani kama anao uwezo, wa kuwalipa wazee wa EAC kama sikosei hii ni kesi ya Wazee Vs Serikali pesa zao zilikuja zamani kabla ya vita vya Uganda wenzao wa Kenya na Uganda walipewa, wa hapa Tanzania hawakupewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.