Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta fundi wa laptop aliyeko Arusha. Laptop yangu inaunguruma sana ninapoiwasha pia baadhi ya button hazifanyi kazi. Kwa yeyote mwenye utaalamu naomba anipm
Sent using Jamii Forums mobile app
QUOTE=Mparee2;6993081]Mimi naishi Arusha na nina hobby ya kufanya biashara ila muda mwingi Na Kuwa Kwenye kazi nyingine.
napenda kuwasiliana na marafiki wa jinsi a yeyote wafanya bibiashara
Napenda rafiki awe na zaidi ya miaka 30 na aliyeserious
asanteni
Tuwasiliane mkuu, mm pia...
kuna jamaa yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Sanawari, Mianzini, Sakina na maeneo ambayo yapo karibu ya Arusha Technical college. Chumba hicho kiwe self contained. Kwa yeyote mwenye ufahamu mahali ambapo kuna chumba chenye sifa kama hizi tafadhali asisite...
Bila shaka sijachelewa sana, mimi pia naomba unitumie spreadsheet yenye kila kitu kuhusu recruitment agencies Tanzania.
Email yangu ni: joseesnr@gmail.com
Tanks in advance
Hekima na uvumilivu vinahitajika mno sasa kuliko wakati wowote ule kwani vikikosekana nchi hii inaweza kutumbukia katika mgogoro na machafuko ambayo si CCM na serikali wala wananchi watakaofaidika.
Ni wajibu wa CCM (hasa hasa Spika wa Bunge na Rais) kukubali kuwa walipitiwa kwa kudhani kuwa...
nashangaza sana mfumo wetu wa siasa na uendeshaji wa nchi yetu,tunapoteza muda mwingi kwenye malumbano yasiyo ya kimsingi na kuacha kutumia fikira zetu kwa mambo ya maendeleo,kila leo ni misamiati mipaya,mara kujivua gamba,mara kuwekana ndani lakini matatizo muhimu yanayoikabili nchi...
Yale yale ya Byesige na Museveni. Sasa kama kutembea kwa miguu ni kosa la jinai naona sis wote tutaishia jela na watabakia tu wezi wetu walio na mashangingi. Kosa namba (1) njama za kutenda kosa. Kosa (ii) kusanyiko lisilo halali. Naona wangaliongezea kosa (iii) kupumua bila ruhusa ya...
Kamati ya Mwinyi ilifanya kazi kama hii mwaka 2009 kama sikosei, lakini ndo kwanza mgogoro ukashika kasi. CCM haitasalimika kwa sasa, maana tatizo kubwa kwa sasa ni kutawaliwa na maslahi binafsi.
Hata kikwete mwenyewe atashindwa tu. Hakuna msafi ndani ya CCM wa kumunyooshea mwenzake kidole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.