Kamatulivyo ongea jana kwenye simu kwamba kuna vitu mimi nauza, nataka kama unaweza kutafuta wateja, kwasababu mnauzoefu kwakazi hiyo.
I. Mimi nauza kamtambo kakuwoshea MADINI YA VITO, kamtambo haka kanavutw na Gari, lakini kwasasa nimetoa mataili nimaweka dani kuofia waizi, kanawosha aina yote Madini ya Vito, nimekutumia na picha zake, unaweza kuzitoa ili zikusaidia kupata wateja. Mimi nili nunua SOUTH AFRICA million 35. lakini mimi nauza million 15, nina madeni. II. Kitu chapili nauza ni JCB, yenyewe yinatatizo kidogo yinatebea kwenda nyuma tu, jino moja yabele kwenye gear box yime meguka, mnaweza kupata DAR hukoko, mimi mwaka jana niliuliza mtu moja huko huko aliniabia LAKI 5, lakini hakuniletea PAKA LEO PICHA ya jino hilo nimekutumia na PICHA ya JCB, NAYIUZA JCB million 18.
111. PICHA zote nimeabatisha unaweza kuzi download kama unaona zikusaidie.
Kamatulivyo ongea jana kwenye simu kwamba kuna vitu mimi nauza, nataka kama unaweza kutafuta wateja, kwasababu mnauzoefu kwakazi hiyo.
I. Mimi nauza kamtambo kakuwoshea MADINI YA VITO, kamtambo haka kanavutw na Gari, lakini kwasasa nimetoa mataili nimaweka dani kuofia waizi, kanawosha aina yote Madini ya Vito, nimekutumia na picha zake, unaweza kuzitoa ili zikusaidia kupata wateja. Mimi nili nunua SOUTH AFRICA million 35. lakini mimi nauza million 15, nina madeni. II. Kitu chapili nauza ni JCB, yenyewe yinatatizo kidogo yinatebea kwenda nyuma tu, jino moja yabele kwenye gear box yime meguka, mnaweza kupata DAR hukoko, mimi mwaka jana niliuliza mtu moja huko huko aliniabia LAKI 5, lakini hakuniletea PAKA LEO PICHA ya jino hilo nimekutumia na PICHA ya JCB, NAYIUZA JCB million 18.
111. PICHA zote nimeabatisha unaweza kuzi download kama unaona zikusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.