Ni kweli mkuu lakn Mzee kwa jinsi nilivomuona anaonekana ni mtu mzuri tu ambae anaweza kunipa ushirikiano mzuri.Amekwisha kuniambia karbia kila ktu kuhusu biasharaka yake hyo anavyo iendesha na nikajarbu kulinganisha na ya baadhi ya watu wanaofanya biashara hyo..Nataka kufanya partnership...
Twendeni kwenye vyombo vya habari vitusaidie kufikisha kilio chetu kwa jamii nzima.Tukilalamika tu humu haisaidii kitu.Mimi binafsi nimeshateseka sana na bado naendelea kuteseka tu.
Napata ndoto za mapenzi kwa wiki mara mbili au tatu karbia mwezi mzima, yaani mara kwa mara.
Kinachonishangaza ni kuwa despite of having sex mara kwa mara bado napatwa na ndoto hizo. Sielewi nimepatwa na nini na limekua tatizo la muda sana.
Nisaidieni kwa wenye uelewa..
dah! kijana hiv unaota au?
hay kwa upande wa engineerings & health programmes kamwe ww advance usijilinganishe kabsa na yule wa diploma hata siku moja.Dip yupo competent zaid yako,practically.
ukitaka kujua pia advance siyo ktu disco chuo kikuu afu na mwenzio wa diploma adisco then...
Utamshari vipi mtu Fulani mwenye mapenzi na course mbili kati ya hizi achague moja wapo ambayo itakuja kumsaidia kwa baadae.Civil & Electrical Engineering.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.