Vumilia mkuu, hata mimi mwaka jana nilihama chuo,boom lilichelewa miezi mitatu na lilipokuja ilikuja quarter ya pili baadae ya tatu lkn mwisho wa mwaka quarter ya kwanza ikaja na quarter ya nne nikawa tajiri!!
Kwa kawaida semester ya kwanza hua inaisha bila boom...boom utaanza kupata semester ya pili...kama unataka kuhama inabidi uwe vizuri kidogo il kile kipnd ambacho unasubiri mkopo uwe transfered unakua unatumia boom la mzazi hata mie pia ilinitokea hio nkaja kupata 1.5M kwa mkupuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.