Nimejaribu kuchunguza kwa makini sana safu wa watarajiwa wa kiti cha Urais mwaka 2015 kutoka CCM, kusema kweli sioni mtu anayefaa zaidi ya huyu Mama, Dr Migiro ,mtazamo wangu umelenga katika profile yake yeye kama msomi mzuri tu na pia amekuwa na experience na maswala mbalimbali yanayohusu siasa...
Another Very GOOD POINT! Naungana na wewe kabisa kwa mchango wako, hawa viongozi wanafuja sana pesa za serikali, wanaitwisha serikali mizigo mikubwa isiyo na ulazima.
Tumia akili, wewe kama mwananchi una haki ya kimsingi kufuatilia kodi yako inavyotumiwa na serikali, ngoja nikupe mfano, Waziri mkuu ni mara chache sana kumuona akiambatana na mkewe kila mara kwenye safari zake za kikazi, na hata kama watakuwa wameambatana pamoja hutowaona wako pamoja katika...
Wewe una undugu naye nini? kwangu mimi naona huo ni upuuzi tu, umetolea mfano Jacob Zuma, siyo kweli kila safari zake anaonekana kuambatana na hao wake zake bana, mimi sina tatizo kwamba ana wake wangapi, ila nataka kufahamu kunaulazima gani unapokuwa katika safari za kikazi kila mara kuongozana...
​Nimefuatilia sana safari za huyu Muhishimiwa Makamu wa kwanza wa Rais Dr. Mohammed Gharib Bilal anapokuwa kwenye safari za kikazi hapa nchini ama nchi za nje kila wakati lazima aambatane na eitha mke ama wake zake wote, ninajua wazi lazima gharama zote zitakuwa zinagharimiwa na kodi za...
Naombenini mwongozo kuhusu madaraka aliyonayo Raisi, nina uliza hivi kwa sababu hivi karibuni imeripotiwa katika vyombo vya habari kumekuwa na matukio ya vurugu katika mikoa ya Mbeya na Iringa kati ya polisi na wananchi hali iliyosababisha hata watu kupoteza maisha na wenginine kwenda ma...
1. Ujenzi wa Msikiti mkubwa na wakisasa
2. Ujenzi wa Chuo kikuu cha Kiislamu
3. Ujenzi wa Madrasa kubwa ya kisasa
Ndugu wananchi Serikali yenu inafanya kila jitihada kuhakikisha inakamilisha hiyo miradi mikuu.
Kwa ufupi tu, waziri ana madaraka ya juu kuliko Katibu mkuu wa wizara, mambo yanaenda hivi, katibu mkuu ana riporti utendaji kazi kwa waziri na waziri anaripoti kwa Rais, Lakini katika majukumu ya kiutendaji yaliyokwisha amuliwa ama kupendekezwa na waziri katibu mkuu huwa ana madaraka ya kuamua...
Nimeona orodha ya mawaziri wapya pamoja na manaibu, kilichonishangaza ni kuona majina mengi ya watu toka Zanzibar, sasa kwanini kutawaliwa na watu toka Z'bar wakati wao hawana hata waziri ama naibu waziri toka bara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.